kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,109
- 14,449
Diamond asijione yuko salama kupostiwa na wasanii ambao hua hapendi kazi zao kufanya vizuri, in short wanajua kwamba diamond hua anawabania, huu unaweza ukawa ni mtego mkubwa sana kwa diamond. Asipokua makini ndio itakua mwisho wake!
Hua anawabaniaje?