Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'

666 chata

JF-Expert Member
Mar 14, 2013
1,688
3,816
Akihojiwa kwenye kipindi cha the Switch, Wasafi FM, alisikika akisema "huyo (yaani Ali Kiba) yupo kwenye game muda sana, mbona sasa hana media yake?"

Diamond akaendelea "mimi kunilinganisha na wasanii wa Tanzania ni kuwaonea hao wasanii, kwa maana hawaniwezi, sababu mimi kwanza nna talent najijua kabisa, nna pesa ya promotion, nnajua kucheza, kuvaa, kujulikana, kwanza nna media nnaweza kufanya siku nzima zinasikika kazi zangu tu, nna mashabiki wengi, nna numbers, views, kwa hapa Africa mimi ni msanii namba tatu kwa ubora, Africa nzima mimi ni namba tatu, google uone? sasa kua namba tatu utanilinganisha na hawa wasanii wenu ambao hawapo ata top 100?"

Diamond Platnumz "kunilinganisha mimi na hawa wasanii wenu ni kunikosea adabu mimi, mziki hadi watoto wangu, wasanii wenyewe mnaonishindanisha nao nnawazidi kila kitu kila kitu hadhi dhambi nawazidi, kwaio sio sawa ni kuidhalilisha nchi".

 
Yupo sahihi ukiangalia anaoshindanishwa nao nyimbo zao nyingi zinaishia Tanzania wakijitahidi Sana East Africa lakini yeye nyimbo zake zinafika sehemu nyingi duniani na ndio kila tuzo kubwa zinazotolewa.

Kwenye kipengele cha best African artist utakuta yupo pekee yake kwa East Africa akishindana na wasanii wa west Africa mwaka Jana tu kawa nominated kwenye Tuzo ya BET hakuna mtanzania hata mmoja zaidi yake.
 
Hio namba tatu embu ngoja kwanza tui list tuone

1. Wizkid
2. Burna boy
3. Davido


Alaf tuwaache madogo ambao wamepiga shows o2 arena hadi Marekani na wamepiga kolabo kubwa na watu kama wakina ed sheeran na justine bieber madogo hao ni Joe Boy, Fire Boy na wapopo wengine wengine kibao wakina simi nani na nani?


😂😂😂😂 looh hio top 3 nadhani ndo ile kitu wabongo wanasema "ametupiga na kitu kizito".
 
Hio namba tatu embu ngoja kwanza tui list tuone

1. Wizkid
2. Burna boy
3. Davido


Alaf tuwaache madogo ambao wamepiga shows o2 arena hadi marekani na wamepiga kolabo kubwa na watu kama wakina ed sheeran na justine bieber madogo hao ni Joe Boy, Fire Boy na wapopo wengine wengine kibao wakina simi nani na nani?


looh hio top 3 nadhani ndo ile kitu wabongo wanasema "ametupiga na kitu kizito".
Amekwambia nenda ka Google umbishie ukiwa na data sio maneno matupu
 
Hio namba tatu embu ngoja kwanza tui list tuone

1. Wizkid
2. Burna boy
3. Davido


Alaf tuwaache madogo ambao wamepiga shows o2 arena hadi marekani na wamepiga kolabo kubwa na watu kama wakina ed sheeran na justine bieber madogo hao ni Joe Boy, Fire Boy na wapopo wengine wengine kibao wakina simi nani na nani?


😂😂😂😂 looh hio top 3 nadhani ndo ile kitu wabongo wanasema "ametupiga na kitu kizito".
Kwenye Tuzo kubwa kabisa ya BET si alikuwa nominated pamoja na Wizkid na Burnaboy au umesahau
 
Yupo sahihi ukiangalia anaoshindanishwa nao nyimbo zao nyingi zinaishia Tanzania wakijitahidi Sana East Africa lakini yeye nyimbo zake zinafika sehemu nyingi duniani na ndio kila tuzo kubwa zinazotolewa kwenye kipengele cha best African artist utakuta yupo pekee yake kwa East Africa akishindana na wasanii wa west Africa mwaka Jana tu kawa nominated kwenye Tuzo ya BET hakuna mtanzania hata mmoja zaidi yake.
Chawa huwa mnakula kwa shida Sana.

Hiyo top three iko wapi?
 
Back
Top Bottom