Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,998
Diamond amesoma alama za nyakati pumzi inaanza kukata,ila jamaa akili nyingi sana,sasa hv hizi collabo na wanamuziki wa juu ndio zinambeba
Hizo propaganda za Mond kukata upepo, tulizisikia tangu zamani na naamini tutaendelea kuzisikia ila tambua tu kwamba, huyu gwiji wa mziki ataondoka na heshima yake.Yaani namaanisha kwamba:-
Oyaah rochido...rochido Rochido...Oya roo..When you hear the sound.........