Wangeanzia hapo! Tena nina wasiwasi,Hicho alichokivaa ndio nini?
Walikuwa wamfunze pia kuwa nguo za ndani zinaendelea kubaki ndani na hazipaswi kuonekana nje, hata kama ni ndani ya hodhi la kuogelea..........
Wangeanzia hapo! Tena nina wasiwasi,
kuna siku ata-plounge hiyo nguo ije kufloat.
Hivi mtu alizaliwa Kigoma, inakuaje hajui kuogelea?
Sababu imenipendeza kudhani hivo.Kwa nini unadhani kila aliyezaliwa Kigoma anatakiwa kuogelea?
Sababu imenipendeza kudhani hivo.
Ana safari ya Zanzibar nini?
Pool zetu hapa Bongo zimejaa uchafu tu. Unakuta masharobizi wanaogelea na boxer chafuu kinoma,huku wakiona ndio swagga hizo. Maboxer machafu mpaka yanazidi nguvu ya Chlorine,tunabakia kuoga mikojo na mauchafu ya watu wazima.Hicho alichokivaa ndio nini?
Walikuwa wamfunze pia kuwa nguo za ndani zinaendelea kubaki ndani na hazipaswi kuonekana nje, hata kama ni ndani ya hodhi la kuogelea..........
Wangeanzia hapo! Tena nina wasiwasi,
kuna siku ata-plounge hiyo nguo ije kufloat.
Pool zetu hapa Bongo zimejaa uchafu tu. Unakuta masharobizi wanaogelea na boxer chafuu kinoma,huku wakiona ndio swagga hizo. Maboxer machafu mpaka yanazidi nguvu ya Chlorine,tunabakia kuoga mikojo na mauchafu ya watu wazima.