unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
Hahahaa hamuwezi fanya kitu mpaka mumfikirie kiba. Tamasha tamashaMwambie huyo.....izi siyo show za sebuleni kama anazofanya mwafulani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa hamuwezi fanya kitu mpaka mumfikirie kiba. Tamasha tamashaMwambie huyo.....izi siyo show za sebuleni kama anazofanya mwafulani
Hahahaha kumbe unakiri kuwa lilikuwa tamasha. Goooood.Wewe huoni hao wengine ni wasindikizaji?
Ata Cassper Nyovest alijaza uwanja wa mpira lakini waliperform wasanii kibao kuanzia Wizkid , Nasty C , mtee lakini record imeandikwa kwamba Cassper ndo kajaza
Povu lawatoka nyie mko so obsessed na kiba bana. Mwapaswa kuchillHahahaaa ngoja povu liwatoke
Huyo ma'mdogo hapo juu anajaribu kutaka nafuu kutokana na upuuzi wa "king wao" na shoo zake za chumbani na kuzipa jina la "world tour" wakati hata Rayvann yuko juu.
Angalia upuuzi unaoitwa "world tour" sasa unafikiri kwa nini mashabiki wake wasije kudis NYOMI la MOND ??
Umesema "wewe". Hahaha its a conclusion then.Mm najua aliejaza huwo uwanja ni mond hao wasanii unaowasema wataje ww mm siwajui
Ndo maana ya kuwa msanii mkubwa unaenda kitumbuiza kwenye matamasha sio show za kwenye night clab au sebuleniHahahaha kumbe unakiri kuwa lilikuwa tamasha. Goooood.
Unajua maana ya festivalMa'mdogo huu mchezo hautaki hasira,HIYO UNAOLAZIMISHA WEWE NI SAWA NA KUSEMA SHOO YA MOMBASA CHRISS BROWN HAKUJAZA YEYE KWA VILE PALIKUWA NA WASANII KIBAO WA NYUMBANI.
Hahaha kumbe alikuwa main artist. Na siyo only artist to perform. Well and good.Watu tunaangalia who is main artist....kwenye hiyo show watu kibao wamekuja kwa ajili ya mond na si local artist....mond punguza kidogo maana balaa lako moja tu nchi inatikisika
hyo show ya uwanjani tu kwanza alikuwa aende tecno bahati mbaya tecno akawa ameumwa.hilo huwa ni tamasha kubwa huko zambia kama fiesta vile sio diamond alojaza ni kawaida yaoHuyo ndio Simba kiboko ya ali kibakuli afu ungeeka ka video or ka picha huu uzi ungekuwa mtamu sana
So mmeiga record. Okay hahahahaWewe huoni hao wengine ni wasindikizaji?
Ata Cassper Nyovest alijaza uwanja wa mpira lakini waliperform wasanii kibao kuanzia Wizkid , Nasty C , mtee lakini record imeandikwa kwamba Cassper ndo kajaza
Diamond ameweka historia ya kuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kujaza uwanja wa Golf uliopo kwenye mji wa kitalii wa livingdtone Zambia
View attachment 503051View attachment 503052View attachment 503053
Diamond pia atatumbuiza kwenye mji mkuu wa Lusaka baadae mwaka huu
hyo show ya uwanjani tu kwanza alikuwa aende tecno bahati mbaya tecno akawa ameumwa.hilo huwa ni tamasha kubwa huko zambia kama fiesta vile sio diamond alojaza ni kawaida yao
Wacha bana unataka sema kina kanye west, maria carey ni wasanii wadogo wanapotumbuiza sebleni kwa birthday za watoto wa vigogo hahahahahha. Wakat mnaanzisha thread muwe mnajipangaNdo maana ya kuwa msanii mkubwa unaenda kitumbuiza kwenye matamasha sio show za kwenye night clab au sebuleni
Nyumbu wa mondi sijui kwa nini hawajiamini mpaka leohyo show ya uwanjani tu kwanza alikuwa aende tecno bahati mbaya tecno akawa ameumwa.hilo huwa ni tamasha kubwa huko zambia kama fiesta vile sio diamond alojaza ni kawaida yao
hawana akiliNyumbu wa mondi sijui kwa nini hawajiamini mpaka leo
Acha ujuaji basi,watu wanafuata burudani sio jina la hilo tukio,na burudani wanaangalia ni nani atakayeitoa hiyo burudani na ktk tukio hili mtoa burudani mkuu ni DIAMOND na si vinginevyo.Unajua maana ya festival
Wewe kweli chenga bars hazisomi ulishawahi kuona wizkid au davido anaenda tanazia au malawi kutumbuiza kwenye birthday au night club?Wacha bana unataka sema kina kanye west, maria carey ni wasanii wadogo wanapotumbuiza sebleni kwa birthday za watoto wa vigogo hahahahahha. Wakat mnaanzisha thread muwe mnajipanga
Wasanii kama hao wakipata mialiko ya aina hiyo huwa hawaiweka ktk kalenda zao za TOUR,na kibakuli hakuna alikosema kama hizo anazofanya ni mialiko ya birthday,ila mwenyewe anaiita ni world tour na anatumbuiza bar.Wacha bana unataka sema kina kanye west, maria carey ni wasanii wadogo wanapotumbuiza sebleni kwa birthday za watoto wa vigogo hahahahahha. Wakat mnaanzisha thread muwe mnajipanga
Dada ongea kwa vidhibitisho, ni wapi ilipoelezwa kuwa hiyo shoo alitakiwa Tecno ......Hivi kwa upeo wako mdogo watu wanapoenda kwenye burudani wanafuata JINA LA HILO TUKIO AU WANAFUATA WATOA BURUDANI WA HILO TUKIO .......??hyo show ya uwanjani tu kwanza alikuwa aende tecno bahati mbaya tecno akawa ameumwa.hilo huwa ni tamasha kubwa huko zambia kama fiesta vile sio diamond alojaza ni kawaida yao
mimi na wewe nani mwenye upeo mdogo .wewe unaeshobokea jambo hata usilolijua .sina muda wa kubishana na watoto msiojua lolote kwanza tafuta nyumbu wenzako .na kwa taarifa yako sio kwamba mimi sio shabiki wa diamond napmpenda diamond sana ila mimi sio shabiki maandazi kama ninyi.hyo show diamond angekuwepo au asinmgekuwepo hilo tamasha huwa linajaza vibaya mnoDada ongea kwa vidhibitisho, ni wapi ilipoelezwa kuwa hiyo shoo alitakiwa Tecno ......Hivi kwa upeo wako mdogo watu wanapoenda kwenye burudani wanafuata JINA LA HILO TUKIO AU WANAFUATA WATOA BURUDANI WA HILO TUKIO .......??