Titty
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 571
- 911
Ila ninachojua kila mwaka Zambia kufanya Shere cku hiyo ni siku ya utamaduni na nasana, wanalika wasaani mbali mbali. Kama mwaka jana walimwalika Alberto Yule jama aiyeimba wimbo wa Amarura. Don't over exargerate you guys. He is good but be sincere on some issues. Alialikwa na sio kwamba ni show yake mwenyewe