luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Hahaha mdau uzi wako unachekesha
Kwahiyo kadri ya alivouliza ndo ulitakiwa kujibu vile? Huon na yeye amepinga hiyo hoja ya ushoga haihusian na wala sio sababu ya jambo hilo unalozungumzia.We ndo unachanganya mafiles utaki kuelewa, unamjibu mtu kulingana na alivyouliza au kutuma tuhuma zake
Mimi ni mwanamke ndio ila najiuliza wewe ni mwanamke? Nana kuna vitu huwezi jua mpaka uwe hiyo jinsia
Watu walishafanya research za kutosha kila kitu kipo uchi wa mnyama
Bandiko lako lipo kwa MFUMO DUME DUME. Hamna ROHO kubwa wala ROHO ndogo. Zote ni Roho za Binadamu.Kinachofanya jamii iharibike ni Ile dhana ya Wanawake nao kutaka kuchagua mtu ata Kama Hana nyuma Wala mbele, matokeo yake mwanamke anazaa na wanaume wa ajabu ajabu hawana malengo na kupelekea kuwepo kwa single mother wengi, unavyombebea mimba mwanaume kwa kigezo Cha moyo unampenda ni uzwazwa
mfano Kuna mwanamke amezaa na mwanaume ambaye ana hisia nae a.k.a anampenda, lakin kamtelekeza na mtoto, ukimfuatilia Whitney Houston alimpenda sana bobby brown, lakin hakuna mtu aliyemharibia Whitney Houston maisha yake Kama bobby brown
Moyo hauna adabu, ndo maana tukapewa akili ili zi-control moyo, sio kila mwanaume unayempenda mwanamke ni mzuri mwingine atayavuruga maisha yako kisawasawa. Kwenye maisha sababu inayomfanya mwanaume awe kichwa kwenye familia ni kwasababu ana uwezo mkubwa wa kutumia akili, mwanamke anaongozwa kwa sababu yeye anaongozwa na moyo kwenye mahusiano kuliko akili.
Tukisema tufuatilie kile moyo unachopenda kila mara tunapelekea kuharibu maisha yetu, ndo maana haijalishi ni kitu gani moyo umekipenda akili lazima iwe muamuz wa mwisho, hiki kitu Wanawake wengi hawawezi kinachopenda Moyo kamwe akili zao haziwez kupinga, Ila wanaume wanaweza ndo utofauti uliopo
Mwanamke anatakiwa kumheshimu mme wake na sio kumpenda in first place, swala la kumpenda mwanaume linakuja through learning. Lakin Leo hii Wanawake wanataka kupenda in first-place Kama wanaume kitu ambacho sio sahii, mwanamke anatakiwa aridhike na mwanamme atakama hajampenda mwanaume, kumpenda kutakuja mbele ya safari.
Mwanaume ndo mjenzi wa familia imara na jamii imara, ni ngumu sana kwa mwanaume kukaa na mwanaume ambaye hampendi na hata akizaa nae hiyo familia ataitelekeza ndo kinachotea sahivi.
Dhana ya Wanawake kutaka kupenda Kama wanaume liliivuruga Western countries, na Sasa hivi limehamia uku kwetu na litaendelea kutuvuruga
Nyingi si za kweli maana wahusika wenyewe huwa hawasemi feelings zao so kama wewe sio mwanamke nyamaza tu maana kuna uongo mwingi kutuhusu usibebe kila kitu cha research ukakipekeka kwa mkeo uta fail.
Research hizo kumbuka wanawake ndo wanafanyiwa sio kwamba ni wanaume wamekusanyana na kuanza kufanya research...
Ofcourse huwezi kubeba kila kitu lazima ukubali research ndo itakupa idea walau unadeal na kiumbe wa aina gani
Ishu sio slope ila ni kule ambako unaona wewe ni sahihi kwako ndio hupendwi hata kiduchu😂😂😂 sana sana utajikuta umeachiwa mtoto uhangaike naeNaona watu wanatafuta slope wakubaliwe hata kama hawapendwi
Kiukweli swala la wanawake kuridhia ambapo mioyo yao haipo kwao ni gumu, way round ya kuridhia ni kwa kuteketeza mfuko wako akijua kabisa anakutumia kwa manufaa yake tu na wala hajali...Ss km moyo haukubali utaridhia vipi?
Nini kitakuongoza kuridhia?.
hapa ndo watoto wa watu wakiwa wanasoma pochi zenu wanaridhia mnawalaumu wakati mnayataka wenyewe😅
Naona watu wanatafuta slope wakubaliwe hata kama hawapendwi
Naomba umsamehe tu, hana akili kwani alitaka kuchemsha genge tu.Bandiko lako halina mashiko liko tu ku undermine wanawake na pia kupenda kumeharibuje western countries, wakati kule wanaheshimu utu na haki za wote kuliko huku Africa tulio na ukandamizaji. Pia upendo ni amri kuu na maandiko yanasisitiza kupemdana how come sasa unalaumu upendo
Kumbe Science Priest bado unaishi? Wewe si ni mmoja kati ya wale wanaume waliojinyonga mwaka jana kisa kupenda sana mwanamke, leo umekuja na hii hoja kweli? Siamini kama ulifufuka, sema ukweli wako.Kinachofanya jamii iharibike ni Ile dhana ya Wanawake nao kutaka kuchagua mtu ata Kama Hana nyuma Wala mbele, matokeo yake mwanamke anazaa na wanaume wa ajabu ajabu hawana malengo na kupelekea kuwepo kwa single mother wengi, unavyombebea mimba mwanaume kwa kigezo Cha moyo unampenda ni uzwazwa
mfano Kuna mwanamke amezaa na mwanaume ambaye ana hisia nae a.k.a anampenda, lakin kamtelekeza na mtoto, ukimfuatilia Whitney Houston alimpenda sana bobby brown, lakin hakuna mtu aliyemharibia Whitney Houston maisha yake Kama bobby brown
Moyo hauna adabu, ndo maana tukapewa akili ili zi-control moyo, sio kila mwanaume unayempenda mwanamke ni mzuri mwingine atayavuruga maisha yako kisawasawa. Kwenye maisha sababu inayomfanya mwanaume awe kichwa kwenye familia ni kwasababu ana uwezo mkubwa wa kutumia akili, mwanamke anaongozwa kwa sababu yeye anaongozwa na moyo kwenye mahusiano kuliko akili.
Tukisema tufuatilie kile moyo unachopenda kila mara tunapelekea kuharibu maisha yetu, ndo maana haijalishi ni kitu gani moyo umekipenda akili lazima iwe muamuz wa mwisho, hiki kitu Wanawake wengi hawawezi kinachopenda Moyo kamwe akili zao haziwez kupinga, Ila wanaume wanaweza ndo utofauti uliopo
Mwanamke anatakiwa kumheshimu mme wake na sio kumpenda in first place, swala la kumpenda mwanaume linakuja through learning. Lakin Leo hii Wanawake wanataka kupenda in first-place Kama wanaume kitu ambacho sio sahii, mwanamke anatakiwa aridhike na mwanamme atakama hajampenda mwanaume, kumpenda kutakuja mbele ya safari.
Mwanaume ndo mjenzi wa familia imara na jamii imara, ni ngumu sana kwa mwanaume kukaa na mwanaume ambaye hampendi na hata akizaa nae hiyo familia ataitelekeza ndo kinachotea sahivi.
Dhana ya Wanawake kutaka kupenda Kama wanaume liliivuruga Western countries, na Sasa hivi limehamia uku kwetu na litaendelea kutuvuruga
Upendo ni amri kuu kwa jinsia zote upendo husitiri na hupunguza uovu why blame it tena sasaNaomba umsamehe tu, hana akili kwani alitaka kuchemsha genge tu.
Mimi ni mwanamke kuna vitu huwezi jua mpaka uwe hiyo jinsia
Kwanin Wanawake hawatongozi direct Kama wanaumeUpendo ni amri kuu kwa jinsia zote upendo husitiri na hupunguza uovu why blame it tena sasa
Mwanaume kaumbiwa kupigania penzi na sio mwanamke, ndo maana mwanaume unaweza mkurupusha saa nane usiku akamfuata mwanamke anayempenda popote alipoKiukweli swala la wanawake kuridhia ambapo mioyo yao haipo kwao ni gumu, way round ya kuridhia ni kwa kuteketeza mfuko wako akijua kabisa anakutumia kwa manufaa yake tu na wala hajali...
Ila hii inaleta shida sana endapo mwanamke ataingia kwenye ndoa na hii mentality 🤣🤣🤣