Tatizo sio slope ndo ukweli angalia mahusiano ambayo mwanamke anampenda sana mwanaume yako katika Hali gani, na mwanaume aliyempenda sana mwanamke yako katika Hali ganiNaona watu wanatafuta slope wakubaliwe hata kama hawapendwi
Nao wawe wanatongoza direct Kama wanaume, jiulize kwanin hamuwez mpaka mnatumia njia za indirectInashangaza sana karne hii mwanaume mwenye ndevu zake ananyanyuka na kuuaminisha umma kwamba mwanamke hatakiwi kupenda au kwa lugha nyingine mwanaume ndio mwenye haki ya kupenda
Sijui kama nimekuelewa ndugu, wanaongoza nini?Nao wawe wanaongoza direct Kama wanaume, jiulize kwanin hamuwez mpaka mnatumia njia za indirect
Ni kutongoza una lingineSijui kama nimekuelewa ndugu, wanaongoza nini?
Unaweza kuwa sahihi kiasi fulaniTatizo sio slope ndo ukweli angalia mahusiano ambayo mwanamke anampenda sana mwanaume yako katika Hali gani, na mwanaume aliyempenda sana mwanamke yako katika Hali gani
Na ujiulize kwanin mwanaume kiasilia ndo anayetongoza na sio mwanamke, mwanaume anaweza mpambania mwanamke na akampata na nadra sana mwanamke kumpambania mwanaume
Hakuna sehemu niliposema wakubali tu, nimesemea mwanamke ni kuridhia, maana ya kurithia ni kukubali Jambo hatakama sometimes moyo wako haukubaliUnaweza kuwa sahihi kiasi fulani
Ulipochemka ni pale unataka mabinti wa watu wakubali tuu kisa wamefuatwa afu watapenda mbele kwa mbele
Mpe nafasi binti na yeye walau akupende japo kidogo mtadumu
Ss km moyo haukubali utaridhia vipi?Hakuna sehemu niliposema wakubali tu, nimesemea mwanamke ni kuridhia, maana ya kurithia ni kukubali Jambo hatakama sometimes moyo wako haukubali
Wewe ni mwanamke?Women are prone to emotional manipulations..
Nadhani hii ni sababu tosha ya kuwafanya wanawake wasiwe wachaguzi bali wawe watu wa Ndio nimekukubali au hapana sipo tayari kuwa na wewe....
single mother wako amekula kona au umemtimuambona wengine sisi ni singo faza lakini hatulalamiki.
Ila ndo utofauti uliopo Kati ya mwanaume na mwanamke, mwanaume anatumia akili na Wanawake wanatumia moyo, atakayemuongoza mwenzake ni yule atakayekua anatumia akili na sio moyoSs km moyo haukubali utaridhia vipi?
Nini kitakuongoza kuridhia?.
hapa ndo watoto wa watu wakiwa wanasoma pochi zenu wanaridhia mnawalaumu wakati mnayataka wenyewe😅
Wewe ni mwanamke?
Sasa ushoga unaingiaje hapo? Khaaaaah lol mbona hueleweki nn unazungumzia wee?Umepataje mda wa kucomment kwenye bandiko lisilo na masiko,
Utu upi na wakati wameachana na concept ya marriage ya asili, wako kwenye ushoga
Wewe ndiye
Huoni Kama nilikua namjibu mtu hapoSasa ushoga unaingiaje hapo? Khaaaaah lol mbona hueleweki nn unazungumzia wee?
Kwahiyo kujibu kulikuwa kunahusu nn na ushoga? Na umeona yeye amerudia kusemaa kipi? Muwage mna stick na jambo husika sio kuchanganya filesHuoni Kama nilikua namjibu mtu hapo
We ndo unachanganya mafiles utaki kuelewa, unamjibu mtu kulingana na alivyouliza au kutuma tuhuma zakeKwahiyo kujibu kulikuwa kunahusu nn na ushoga? Na umeona yeye amerudia kusemaa kipi? Muwage mna stick na jambo husika sio kuchanganya files
Kwahiyo kwako upendo ni niniUmepataje mda wa kucomment kwenye bandiko lisilo na masiko,
Utu upi na wakati wameachana na concept ya marriage ya asili, wako kwenye ushoga
Haya ni mawazo yako binafsi, au ndio uhalisia wa Mambo.Kinachofanya jamii iharibike ni Ile dhana ya Wanawake nao kutaka kuchagua mtu ata Kama Hana nyuma Wala mbele, matokeo yake mwanamke anazaa na wanaume wa ajabu ajabu hawana malengo na kupelekea kuwepo kwa single mother wengi, unavyombebea mimba mwanaume kwa kigezo Cha moyo unampenda ni uzwazwa
mfano Kuna mwanamke amezaa na mwanaume ambaye ana hisia nae a.k.a anampenda, lakin kamtelekeza na mtoto, ukimfuatilia Whitney Houston alimpenda sana bobby brown, lakin hakuna mtu aliyemharibia Whitney Houston maisha yake Kama bobby brown
Moyo hauna adabu, ndo maana tukapewa akili ili zi-control moyo, sio kila mwanaume unayempenda mwanamke ni mzuri mwingine atayavuruga maisha yako kisawasawa. Kwenye maisha sababu inayomfanya mwanaume awe kichwa kwenye familia ni kwasababu ana uwezo mkubwa wa kutumia akili, mwanamke anaongozwa kwa sababu yeye anaongozwa na moyo kwenye mahusiano kuliko akili.
Tukisema tufuatilie kile moyo unachopenda kila mara tunapelekea kuharibu maisha yetu, ndo maana haijalishi ni kitu gani moyo umekipenda akili lazima iwe muamuz wa mwisho, hiki kitu Wanawake wengi hawawezi kinachopenda Moyo kamwe akili zao haziwez kupinga, Ila wanaume wanaweza ndo utofauti uliopo
Mwanamke anatakiwa kumheshimu mme wake na sio kumpenda in first place, swala la kumpenda mwanaume linakuja through learning. Lakin Leo hii Wanawake wanataka kupenda in first-place Kama wanaume kitu ambacho sio sahii, mwanamke anatakiwa aridhike na mwanamme atakama hajampenda mwanaume, kumpenda kutakuja mbele ya safari.
Mwanaume ndo mjenzi wa familia imara na jamii imara, ni ngumu sana kwa mwanaume kukaa na mwanaume ambaye hampendi na hata akizaa nae hiyo familia ataitelekeza ndo kinachotea sahivi.
Dhana ya Wanawake kutaka kupenda Kama wanaume liliivuruga Western countries, na Sasa hivi limehamia uku kwetu na litaendelea kutuvuruga