LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,457
Hata ndoani watu wanaingia tuu chezea security of the future wewe heheheKiukweli swala la wanawake kuridhia ambapo mioyo yao haipo kwao ni gumu, way round ya kuridhia ni kwa kuteketeza mfuko wako akijua kabisa anakutumia kwa manufaa yake tu na wala hajali...
Ila hii inaleta shida sana endapo mwanamke ataingia kwenye ndoa na hii mentality 🤣🤣🤣