OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,693
- 9,351
Habari wakuu,
Huu mjadala ni mpana sana na upo tangu miaka mingi sana, nitaeleza nadharia ya uwepo wa mbingu na Mungu jinsi ulivyoibuka, nitatumia mifano ya sasa na ya kale ili niweze kueleweka,
Nitaanza na concept ya mbingu. Fikiria maisha jinsi yalivyo magumu, fikiria changamoto za kimaisha unazopitia mfano huna ajira, huna shughuli yeyote, biashara ngumu, huna uwezo wa kununua chakula, unaumwa huna pesa ya kwenda lutibiwa hospitali, umebambikiziwa kesi na wanasiasa, hujapata mtoto, umelima mazao yamepigwa ukame hakuna utakacho vuna, umepata msiba wa mtu unayempenda kafariki ghafla n.k majanga ni mengi
Kumbuka upo Tanzania, bara la Afrika sayari ya tatu iitwayo dunia wengi mnaiita duniani,
Sasa unaambiwa kuna nchi inaitwa mbinguni lakini haijulikani ilipo, Raisi wa hiyo nchi ni mungu, mawaziri ni malaika na kwenye hiyo nchi hakuna changamoto zozote za kimaisha yaani vyakura vipo vya kutosha, mazingira ni mazuri, kuna bustani nzuri, kuna hewa safi, hakuna magonjwa na ukiwa huko hauwezi kufa, huitaji ajira wala kufanya biashara ili uweze kujikimu yaani bata zote ni bureeee ,
Lakini ili uingie kwenye hiyo nchi ni lazima ufe kwanza kisha siku ya mwisho utafufuliwa utafanyiwa interview kwa kuangalia experience ya matendo yako, kama ulitenda mema utaingia huko kama ulitenda mabaya hutaingia kwenye nchi ya mbinguni yaani bata utazisikia tuu na utapewa adhabu ya kuchomwa moto na kufa mara ya pili ila inasemekana kabla hujachomwa utafungwa minyororo miaka elfu moja kwanza ndio uchomwe mpaka kufa.,
kabla raisi wa mbinguni ambaye ni mkombozi atakachokifanya muda mfupi kabla ya zoezi la kuwafufua wafu na kuwafanyia interview
assume siku ya tukio ni mwaka 2021 december. Wale watakao kuwepo siku hiyo wataungana na watakaofufuliwa kwenye kufanyiwa interview ya kuingia katika nchi yenye asali na maziwa na bata zote
Hiki ndicho kinachofanya watu tunasali usiku na mchana ili tupate tiketi ya kuingia mbinguni.
Huu mjadala ni mpana sana na upo tangu miaka mingi sana, nitaeleza nadharia ya uwepo wa mbingu na Mungu jinsi ulivyoibuka, nitatumia mifano ya sasa na ya kale ili niweze kueleweka,
Nitaanza na concept ya mbingu. Fikiria maisha jinsi yalivyo magumu, fikiria changamoto za kimaisha unazopitia mfano huna ajira, huna shughuli yeyote, biashara ngumu, huna uwezo wa kununua chakula, unaumwa huna pesa ya kwenda lutibiwa hospitali, umebambikiziwa kesi na wanasiasa, hujapata mtoto, umelima mazao yamepigwa ukame hakuna utakacho vuna, umepata msiba wa mtu unayempenda kafariki ghafla n.k majanga ni mengi
Kumbuka upo Tanzania, bara la Afrika sayari ya tatu iitwayo dunia wengi mnaiita duniani,
Sasa unaambiwa kuna nchi inaitwa mbinguni lakini haijulikani ilipo, Raisi wa hiyo nchi ni mungu, mawaziri ni malaika na kwenye hiyo nchi hakuna changamoto zozote za kimaisha yaani vyakura vipo vya kutosha, mazingira ni mazuri, kuna bustani nzuri, kuna hewa safi, hakuna magonjwa na ukiwa huko hauwezi kufa, huitaji ajira wala kufanya biashara ili uweze kujikimu yaani bata zote ni bureeee ,
Lakini ili uingie kwenye hiyo nchi ni lazima ufe kwanza kisha siku ya mwisho utafufuliwa utafanyiwa interview kwa kuangalia experience ya matendo yako, kama ulitenda mema utaingia huko kama ulitenda mabaya hutaingia kwenye nchi ya mbinguni yaani bata utazisikia tuu na utapewa adhabu ya kuchomwa moto na kufa mara ya pili ila inasemekana kabla hujachomwa utafungwa minyororo miaka elfu moja kwanza ndio uchomwe mpaka kufa.,
kabla raisi wa mbinguni ambaye ni mkombozi atakachokifanya muda mfupi kabla ya zoezi la kuwafufua wafu na kuwafanyia interview
assume siku ya tukio ni mwaka 2021 december. Wale watakao kuwepo siku hiyo wataungana na watakaofufuliwa kwenye kufanyiwa interview ya kuingia katika nchi yenye asali na maziwa na bata zote
Hiki ndicho kinachofanya watu tunasali usiku na mchana ili tupate tiketi ya kuingia mbinguni.