Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,285
Huyu jamaa ni mtu wa dua na maombi lakini anasema hakuna Mungu. Ninaamini alipitia changamoto za kimaisha hadi akamchukia Mungu lakini deep down anafahamu uwepo wake.
Scars
Scars
Watu tu wanashindwa kuwa waungwana
Mimi kwenye mechi yenu na Medeama niliomba dua msifungwe.
Na kweli mechi ikaisha hamjafungwa matokeo yake tulioonekana tunafurahi matokeo ya aina ile tukaitwa hater.
Yani haijalishi ni kwa kiasi gani unakuwa humble kwa mwingine ila mtu akiamua kuku maindi atakuita tu we ni hater.
Tuendelee kudumisha utamaduni wetu kwa kuombeana mema.