jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Lissu hamkubali mwalimu!Mwlimu Nyerere ,Baba wa taifa aliwahi kusema"anayesema ukabila ndiye mkabila"
Lissu hamkubali mwalimu!Mwlimu Nyerere ,Baba wa taifa aliwahi kusema"anayesema ukabila ndiye mkabila"
Naona ndio mpo busy kujenga viwanda hapa hahahahahChadema na Udini na Ukabila ni Kama chup.i na t.ako!
Chadema haijawahi kuwa na Mgombea Urais ambae hatoki Kaskazini tangu kimeanzishwa zaidi ya robo Karne sasa!
Thanks mdaumtei babamkwe wa mbowe, mwenyekiti 1990-1997, bob makani shemeji yake mtei mwenyekiti 1997- 2004, mbowe mkwe wa mtei , mwenyekiti 2004----------
mlopokaji lissu halioni hili, na lisu akitaka ajue hanachale ndani ya chadema agombee cheo kikubwa
Hlf ukiangalia vzri si ajabu utakuta wote ni walutheri....Mbowe-m/kiti-Kaskazini
John mrema-mkurugenzi wa bunge-kaskazini
John mnyika NKM-Kaskazini
Joseph selasini-Mkurugenzi wa mifeza-kaskazini
Sumaye-Kamati kuu-Kaskazini
Lema-kamati kuu kaskazini
Lowassa-mwenye chama-kaskazini
Ole sosopo-kaskazini
Grace kiwelu-viti maalum-kaskazini
Rose kamili-viti maalum-kaskazini
Hivi ile union of thinking generation ina uhusiano na chadema?!Saa 9
Godlisten Malissa
Idadi ya kesi walizoshitakiwa na idadi ya siku walizoingia lockup kwa makosa ya kipumbavu....matusi....uchochezi nk ndo mtaji wao wa kisiasa!kazi majimboni mwao wameshasahau!tusubiri 2020!zitto hakukosea kumuita yule jamaa punguani.....hayawani!Zitto anawachora sana hawa jamaa. Balozi wa Japan na Zitto wamekuwa pamoja Kigoma kwa karibu siku tatu.
Kilichowapeleka ni kuangalia namna gani mkoa ule unaweza kufunguka kwa maana ya fursa kuzifikia dunia nzima.
Zitto anayo mawazo ya kuigeuza Kigoma kuwa tourist destination nyingine ya Tanzania. Hivyo wanavyomtukana mitandaoni, yeye anawacheka kimoyomoyo.
Ndio maana kamfananisha Lissu na zwazwa, kwa sababu yeye Zitto anaitazama dunia katika mtazamo wa kimaendeleo, halafu anashangazwa na mtu ambaye anawazia demokrasia kuliko maendeleo.
Jimbo la uchaguzi la Zitto Kabwe litakuwa tofauti sana kimaendeleo kulinganisha na jimbo la Tundu Lissu, ndani ya miaka minne au mitano ijayo.
Sasa Hapa unataka kusema nini? Kwamba kama kunaudini,ukabila au undugu ndo turuhusu nchi yetu iwe hivyo? Mbona watu wengine mnakuwa malofa na wapumbuvu kuliko wale aliowasema Hon.Mkapa,Nani analazimishwa kuwa mwanachama wa Chadema na mambo yao,otherwise use me wewe ni jinga kweli kama kuna lako lilivyoWadau na wanaJF kwa mwenye safu au orodha ya uongozi wa chadema atuwekee hapa ili tuiangalia kama haina udini,undugu,ushemeji au ukanda.
UPDATE 1
Tuanze na Wenyeviti wa Chadema
Mkuu jinga lao,sitaki kuamini kuwa "user name" yako inaakisi uelewa wako! Naamini wewe ni mwelevu zaidi ya hiyo user name.Chadema wawe wakanda,wakabila,wanaukoo au vyovyote walivyo hiyo si hoja,ukanda,ukabila,undugu,ushemeji na unyumba wao ni fursa kwa watanzania kuufahamu ulaghai wao!Wadau na wanaJF kwa mwenye safu au orodha ya uongozi wa chadema atuwekee hapa ili tuiangalia kama haina udini,undugu,ushemeji au ukanda.
Wadau na wanaJF kwa mwenye safu au orodha ya uongozi wa chadema atuwekee hapa ili tuiangalie(kwa jicho la lissu) kama haina udini,undugu,ushemeji au ukanda.
UPDATE 1
Tuanze na Wenyeviti wa Chadema
Mmmmhhhh safi sana, waweke tuuone hpo ndpo tutakubaliana na hoja yaoHayo hayatuhusu...tuwekee safu ya uongozi wa chadema hapa tuichambue kwa jicho la lisu.
Naona mods wamepata maelekezo kutoka juuMmmmhhhh safi sana, waweke tuuone hpo ndpo tutakubaliana na hoja yao
Sina uhakika na hili.Ila kwa nafasi yake kuna hekima ya kuchota toka kwa kazi za Mwl Julius Kambsrage Nyerere Baba wa Tsifa hiliLissu hamkubali mwalimu!
Unajenga ukuta kulinda uovu wa chama chako. Chama chenye wabunge zaidi ya 100, madiwani kibao, na kinaomba ridhaa ya kuongoza dola kikiwa na mambo ya ovyo kisihojiwe!Watu wanazungumzia muundo wa serikali nyie mnalingalisha na chama ambao viongozi wake wanachaguliwa kwa uchaguzi? Sie tunahoji teuzi mbali mbali ambazo mamlaka yake yako kwa mtu mmoja na hahojiwi na yeyote na anapaswa kujali Utanzania tu...
Bob Makani Msukuma lakini mkewe mchaga na dada wa Mkiti. Tusidanganyane hapa!Bob Nyanga Makani ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA, ni Msukuma, Mwislamu kutoka Kutoka Shinyanga na katibu mkuu wa Kwanza wa CHADEMA...
Kwani wewe una mimba ya ACT wazalendo!!Hiki chama kitakuja kukupa mimba Jo..