Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Usimlaumu kikwete suala la ubaguzi ni la ccm wote,wakati Wa mkapa wakati mrema yuko Nccr mageuzi walisema ni chama cha Wachaga,wakti Wa mkapa walisema cuf ni ya Waislam
Hili swala hata kama lilikwepo wakati ule si kwa kiwango cha sasa
Na lazima ukumbuke viongozi walilikemea kwa nguvu nyingi akiwepo mwalimu 1995
Mwaka 2010 hali ndio ilianza kuwa mbaya zaidi baada ya Ccm kuitumia dhana hiyo kurudi madarakani,Na baada ya kuhubiri ukabila na ukanda
Bado JK alikaa kimya bila kukemea,hali sasa sio shwari tena,Ni swala la muda tu hili bomu lazima litalipuka.na hakuna atakayekuwa salama pamoja na huyu JK