Hifi karibuni kumeibuka tuhuma za ubaguzi na ukabila ndani ya chadema,
nimefanya utafiti nakugundua hakuna ubaguzi wala ukabila ndani ya chadema,
mwenyikiti wa chadema anatoka kilimanjaro;
mwenyekiti msaidizi mpanda hata kabla lake hatujui
katibu mbulu
naibu katibu ambaye ndie anayelalamika kigoma:
wajumbe kamati kuu kitila mkumbo hata anakotoka aijulikani
profesa safar
mnyika
baregu
kigaila
na wajumbe wangine wengi hata wanakotoka hatujui na wala hatutaki kujua huo ubaguzi umetoka wapi?
Mh zitto amesahau majukumu yake kama naibu katibu mkuu na kimsingi naibu katibu mkuu pia nimtu wa tatu pale juu:
amenikumbusha mbali baba aliniambia wakati nikiwa mdogo ukila chakula huku ukiwa unalia hupati afya sasa nimeamini kwa zito wewe ni naibu katibu mkuu taifa bado unalia,
wako wasomi wengi na wana prpoganda kweli lakini hawakupata nafazi:
nimefanya utafiti nakugundua hakuna ubaguzi wala ukabila ndani ya chadema,
mwenyikiti wa chadema anatoka kilimanjaro;
mwenyekiti msaidizi mpanda hata kabla lake hatujui
katibu mbulu
naibu katibu ambaye ndie anayelalamika kigoma:
wajumbe kamati kuu kitila mkumbo hata anakotoka aijulikani
profesa safar
mnyika
baregu
kigaila
na wajumbe wangine wengi hata wanakotoka hatujui na wala hatutaki kujua huo ubaguzi umetoka wapi?
Mh zitto amesahau majukumu yake kama naibu katibu mkuu na kimsingi naibu katibu mkuu pia nimtu wa tatu pale juu:
amenikumbusha mbali baba aliniambia wakati nikiwa mdogo ukila chakula huku ukiwa unalia hupati afya sasa nimeamini kwa zito wewe ni naibu katibu mkuu taifa bado unalia,
wako wasomi wengi na wana prpoganda kweli lakini hawakupata nafazi: