SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,336
- 4,692
Naamini si kila maombi Mungu anayapokea ingekuwa hivyo basi shetani angeshaokoka
Mungu hapokei maombi yaliyo kinyume tu na uungu wake.Mfano Mungu ni Upendo.Huwezi kuomba kitu chochote kinyume na Upendo Mungu akapokea ombi kama hilo.Mungu ni huruma.Huwezi kuomba mtu alipiziwe kisasi na ukategemea Mungu apokee.Kanuni ni hii:He gives what He has.Anatoa alicho nacho.Hawezi kutoa kile kisichokuwa sehemu ya ufalme wake.Katika muktadha wa mada yako watanzania wanamuombea Magufuli kwa Mungu mambo mema na kwa hivyo tunamtumainia Mungu ajibu.