Sala ya mlevi

Sala ya mlevi

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,611
Reaction score
2,801
Yesu yupo karibu yako hayuko mbali na wewe.YESU anajibu maombi ya watu wake ukiomba kwa imani kwa jina la Yesu.

Ukijinyenyekeza chini ya mkono wa Yesu wenye nguvu,ukijiona haufai mbele ya Yesu,ukijiona hautoshi,ukijiona ni mwenye dhambi mbele za Yesu na kukiri kwamba Yesu ni mtakatifu na jina lake lina nguvu na uwezo(TOBA).

Yesu ni mwingi wa rehema na ni mwenye huruma..amejaa msamaha na neema nyingi.

Sisi ni wenye dhambi na Yesu ni mtakatifu,Yesu anatusamehe dhambi zetu tukitubu na anajibu maombi Yetu...(hadithi ya SALA ya maombi ya mlevi imenifundisha kitu.

 
Yesu yupo karibu yako hayuko mbali na wewe.YESU anajibu maombi ya watu wake ukiomba kwa imani kwa jina la Yesu.

ukijinyenyekeza chini ya mkono wa Yesu wenye nguvu,ukijiona haufai mbele ya Yesu,ukijiona hautoshi,ukijiona ni mwenye dhambi mbele za Yesu na kukiri kwamba Yesu ni mtakatifu na jina lake lina nguvu na uwezo(TOBA).

Yesu ni mwingi wa rehema na ni mwenye huruma..amejaa msamaha na neema nyingi.

Sisi ni wenye dhambi na Yesu ni mtakatifu,Yesu anatusamehe dhambi zetu tukitubu na anajibu maombi Yetu...(hadithi ya SALA ya maombi ya mlevi imenifundisha kitu.
Aliyesema usizini ndo huyohuyo aliyesema usiue. Kwanini Yesu anataja dhambi hizo mbili kwa msisitizo. Hakutaja pombe na badala yake alipromote zaidi kwa kugeuza maji kuwa divai(ethanol)
 
Ee mwenyezi Mungu ikiwa ulibariki chakula kikawa kingi ukawalisha maelfuelfu hadi wakasaza, na tena ukageuza maji kuwa pombe, naomba vibaba vyangu vya chakula na pombe navyo vinarikiwe vijae sana.

Baba, ikikupendeza fedha na dhahabu zisikosekane nyumbani mwangu
 
Back
Top Bottom