Dhana ya kuombewa

Dhana ya kuombewa

Madaraka kumbe huwafanya watu wajisahau kiasi hiki na kujiona kuwa wao ni viumbe wa daraja la juu wanaopaswa kuabudiwa?
 
Naam hakuna mtu ambaye yuko tayari kumuombea mtu katili, mwenye roho mbaya, mbaguzi, asiyejali maslahi ya nchi na wananchi wa nchi husika na ambaye kauli zake kila kukicha ni za vitisho tu dhidi ya wananchi wa nchi husika. Mtu anayejiona kama Mungu kwa kulewa madaraka.
wala hakuna aneitaji maombi yako .Mungu hapangiwi ALILOPANGA AMESHAPANGA
mAGUFULI FOR LIFE
 
... eti mtu anayekuita ****za, katili aliyekubomolea nyumba yako, anayekukataza usiseme unachofikiri, katili aliyebadilisha gia angani na kufukuza chuo, anayeapa atahakikisha unaishi kama shetani, etc. anakwambia umuombee? kweli ni dhihaka kwa mwenyezi Mungu.
 
... eti mtu anayekuita ******, katili aliyekubomolea nyumba yako, anayekukataza usiseme unachofikiri, anayeapa atahakikisha unaishi kama shetani, etc. anakwambia umuombee? kweli ni dhihaka kwa mwenyezi Mungu.
God is watching...!
1469971310944.jpg
 
View attachment 373597View attachment 373598Kama taifa na kama binadamu tunapaswa kuombeana wote...tukiwaombea hao wenye maisha bora tayari na kila kitu tunawaombea ili iweje? Je hawa wenye mahitaji ya kweli ya maombi tunawaweka kwenye nafasi gani? Tupunguze ubinafsi na kujiona sisi ni bora kuliko wengine View attachment 373599View attachment 373600
Genesis 12:3 I will bless those who bless you, and whoever curses you I will curse. .... (tafakari) baraka hii alipewa mtu tajiri sana. ... hapo sasa..
 
Genesis 12:3 I will bless those who bless you, and whoever curses you I will curse. .... (tafakari) baraka hii alipewa mtu tajiri sana. ... hapo sasa..
Sahihi kabisa ambaye hawezi kufanana na huyu kwa namna yoyote ile
 
Jamani jamani kawekwa na MUNGU. ..neno linasema. .tii watu walikuwa madarakani! Hapo sasa
ISIS hizi sentence zinasikika Africa tuu..huko kwingine ni vigezo na masharti
 
Back
Top Bottom