Dhana ya "kumbemenda mtoto"

Dhana ya "kumbemenda mtoto"

Mambo mengine yamebase ki-imani zaidi kiasi kwamba hata wanasayansi hawawezi kutoa majibu ya moja kwa moja...Mfano hata mwanaume ukiwa na mtoto mchanga home ukaenda piga mechi ya ugenini ukaja home ukimbeba mtoto wako atadhurika...

Hii kweli ki imani, Haya yanatokea na nishawahi kusikia Mara nyingi sana kuhusu hili
 
Habari zenu wana jamvi? Naombeni ufafanuzi juu ya hili swala hapo juu.Kumbemenda mtoto au kumuharibu mtoto inasababishwa na nini haswa?mana kwa fafanuzi za mitaani inasemekana kuwa hutokea pale moja kati ya mzazi wa mtoto husika akichepuka na mtu mwingine ndio chanzo haswa cha kubemendwa kwa watoto?naomba wa juvi wa mambo mnijuze kiundani ili niweze kufahamu vyema swala hili.
 
Habari zenu wana jamvi? Naombeni ufafanuzi juu ya hili swala hapo juu.Kumbemenda mtoto au kumuharibu mtoto inasababishwa na nini haswa?mana kwa fafanuzi za mitaani inasemekana kuwa hutokea pale moja kati ya mzazi wa mtoto husika akichepuka na mtu mwingine ndio chanzo haswa cha kubemendwa kwa watoto?naomba wa juvi wa mambo mnijuze kiundani ili niweze kufahamu vyema swala hili.
Unataka kuchepuka nini mama kichanga?
 
Mm nafikiri hakuna suala la kubemenda, ni pale tu mtoto anapokosa lishe au kunyonya maziwa yasiyo na virutubisho hasa kama mama mtu hapati mlo mzuri...mtoto anapodhoofika kwa kukosa lishe na ukuaji wake unapostop ndipo watu husema kabemendwa....
 
kwani baba ndio ana,myonyesha mtoto? baba atahusika kama atamla mama mzigo wakti mtoto ananyonya bila kutumia njia sahihi kulingana na wakti husika
Naelekea kukuelewa, ila ulivyoongeza ...."..bila kutumia njia sahihi na wakati husika..", kidogo nimechanganyikiwa, naomba ufafanuzi mkuu tafadhali.
 
Naelekea kukuelewa, ila ulivyoongeza ...."..bila kutumia njia sahihi na wakati husika..", kidogo nimechanganyikiwa, naomba ufafanuzi mkuu tafadhali.
kum date mama pekupeku bila kutumia kondom au njia nyingine inayofaa wakti wa kujamiiana na mama wa mtoto
 
Ss kwetu wachaga mwanamke akijifungua anapigishwa misosi ya nguvu, masupu supu na mitori kwa sana, nna Dada angu aliachana na mwanaume alyezaa nae kpnd cha ujauzito, akapata mwanaume mtoto akiwa na miezi miwili alikuwa akigegedwa na mtoto wake alikuwa na afya sana tens sana japo ananyonyesha...kutokana na lishe nzuri mtoto alipata maziwa mazur
 
Wanajamvi naomba nijuzwe kitaalam ni nini maana na chanzo cha mtoto kubemendwa.
 
Niliwahi kumuuliza Dr flani kama kuna kitu kama kubemenda, akanijibu hakuna kitu kama hicho.
Na mimi nime prove hakuna kitu kama hicho as long as mtoto anakula vizuri msafi na anaamgaliwa vizuri.
Nahisi huku uswaz ukikuta mama anadanga anakuwa hana muda hata wa kumwangalia mwanae huyo ndiyo maana anadhoofika...
 
Back
Top Bottom