Mfumo kristo ni ule ambao hospitali za kikristo kama peramiho, bugando, Kcmc, Ifakala, Itigi, Nkinga, Seriani n.k kuwatibia watu wote wakiwemo waislamu bila kuwabagua kwa misingi ya dini zao
Mfumo Kristo ni ule ambao vyuo vilivyoanzishwa na wakristo kama KCMC, BUGANDO, ST AUGUSTINO, ST JOHN, Nkinga, Kirimatinde, Kwa lena nk husomesha wakristo na waislamu bila kuwabagua tofauti na Morogoro Muslimu university ambayo wanafunzi wake wengi( na wahadhiri ) ni waislamu.
Mfumo Kristo ni ule ambao nyumba za ibada za wakristo zinachomwa moto na wao kukaa kimya wasipachimbe wakati kama ungechomwa msikiti mmoja yangechomwa labda makanisa 100.
Mfumo Kristo ni ule ambao taasis za Kikristo zinawaajiri waislamu na watu wa dini nyingine sawasawa bila kuwabagua kama zifanyavyo taasisi za kiislamu
Mfumo Kristo ni ule ambao wakristo wanaweza kulazimishwa kuishi maisha ya shida ( kama ilivyotokea kwenye mfungo wa ramadhani Zanzibar majuzi)ili tu kuwafanya waislamu wafanye ibada kwa mungu wao
Mfumo Kristo ni ule ambao Redio na Magazeti ya kiislamu ( mfano Redio Imani) wanakashifu wakristo na imani yao bila hata kukemewa au kufungiwa na mtu yeyote
Mfumo Kristo ni ule ambao wakristo wanakubali kushiriki ibada ya waislamu( mfano kulazimishwa kula nyama ya mnyama aliyechinjwa na mwislamu) ili tu kumfanya mwislamu atimize ibada yake...
Hahahahaha....ENDELEZA HAPO!!!
MYTAKE; Wanaochokonoa udini kwa kigezo cha kujifanya wanaonewa na mfumo uliopo wajue kuwa " mkataa pema pabaya panamngoja"
Mkuu Chadema inahusika vipi hapo? fafanua.
hakuna cha propaganda its a fact zipo wazi....taifa limehujumiwa kwa upendeleo huu..Aisee, kweli nimeamini propaganda mbaya sana. Yaani mmelishwa uwongo huu kupitia mawaidha kwenye nyumba zenu za ibada nanyi mmeamini hivyo!!!!! Kwa kweli ukombozi wa kwanza mnaohitaji waislam ni wa fikra. Bila kupata ukombozi huo, mtaendelea kulalamika tu.
Wewe ni mgeni JF?
Chadema ni taasisi wewe unatumia mawazo ya mtu binafsi kuihukumu.Wewe ni mgeni JF?
ww ndio kabisa unatizama mambo kijuujuu hao sio watendaji wakuu, watendaji muhimu wapo chini yao. Hao watatekeleza yale ambao hao wachini wameyaona yanafaa na wameyafanyia kaziNimekuwa natafakari hilo dai la waislam hapo juu ninashindwa kupata jibu. Tukiwa kama ndugu (waislam + wakristu) inabidi tushikiriane kwa maendeleo ya nchi. Baada ya kuona waislam wanalalamika kunyanywaswa na wakristo imebidi nitafakari viongozi wa nchi yetu kwa kuangalia dini zao kitu ambacho nilikuwa sijawahi kukifanya nikashtuka jinsi waislamu walivyoshikilia nafasi nyeti na bado waislamu wanaona kama wanaonewa.
Rais - Mwislam
Makamu wa Rais - Mwislam
Jaji Mkuu - Mwislam
Jaji kiongozi - Mwislam
Katibu Mkuu Kiongozi - Mwislam
Mkuu wa usalama wa Taifa - Mwislam
Mkuu wa Polisi - Mwislam
Paymaster General - Mwislam
Accountant General - Mwislam
Waziri wa Ulinzi - Mwislam
The list can go on and on...
Sasa ndio kusema hawa viongozi hapo juu ni wapole sana kiasi kwamba wakristu ndio wanatawala nchi? Mnaweza kuomba kutatuliwa matatizo yenu bila kuona wakristu ndio kikwazo? Waislamu, wakristu sio adui zenu, hebu tutafakari!
Sasa mbona mnasema CDM haiwezi shinda bila kura za WaislamuMkuu Waislam wote sio CCM wala Waislam hawafungamani na upande wowote kama unavyotaka kulazimisha wewe Waislam ni CCM, wanaofaidika na CCM ni Wakiristo.
hakuna cha propaganda its a fact zipo wazi....taifa limehujumiwa kwa upendeleo huu..
mwaka jana pale Milenium school ya Pengo....ilikuwa shule ya kwanza sijui kwenye NECTA...hapa walimu waliweka vitabu chooni mwanafunzi anaenda chooni kuchakachua maswali anarudi ndani kwa masharti ya kuwapatia jawabu darasa zima...hatimae hii shule ilikuwa ya kwanza...na Ndalichako hakuwa na ubavu wa kufuta mitihani ya shule hii...si na ya katoliki bwana...
ushahidi upo mukitaka nendeni mukaangalie mitihani yao kama haijafanana,
na hapa shule alipelekwa mwanamama msimamizi ambaye alikua na mimba kubwa....akilala mwanzo wa mitihani mpaka mwisho....
so ngungu yangu hakuna cha propaganda ni ukweli kuna hujuma dhidi ya elimu Tanzania.
inawezekana wapo kabisa wanaofanya mitihani kwa akili zao lakini sio rahisi tena kujua yupi amependelewa na yupi ana akili szake.
hapa ndio tumefika....
ngoja nikuulize swali kwa nini hii mitihani isifanywe kwa wanafunzi kupewa namba za siri na matokeo yawe kwa kutumia namba za siri ? kwa nini watu wanakataa hili? why why ? duniani kote unafanya mitihani kwa namba za siri.
kama unaona hakuna hila huko NECTA basi fanyeni kampeni kubwa na ya nguvu zitumike namba za siri kufanyia mitihani na results zitolewe kwa namba pia ....
Chadema ni taasisi wewe unatumia mawazo ya mtu binafsi kuihukumu.
Jibu atapata kabla hata ya kwenda field kukusanya data.Pole ndugu, umelishwa sumu ya kutosha, jaribu kufanya utafiti ktk shule ulizodai zina pendelewa
uone mazingira ya shule ikiwemo miundombinu na upatikanaji wa nyenzo za kujifunzia, idadi ya wanafunzi, namna walimu wanavyo fundisha, mchujo unaofanyika
mpaka mwanafunzi kufika siku ya kufanya mtihani wa mwisho (kuna kiwango cha ufaulu hapo).
Kisha linganisha na hizo una zolalamika wamefelishwa utapata jibu.
Sasa mbona mnasema CDM haiwezi shinda bila kura za Waislamu
Leo 9/9/2012, radio imaan, kama ilivyo kawaida yake, inaendesha mjadala ambao kwa ujumla wake unaeleza kuwa serikali ya Tanzania kila kitu kinaendeshwa kikristo kwamba waislam wanateswa, tengwa na kunyanyaswa.
Pia, wachangia mada,ambao ni mashekh, wanawahamasisha waislam wapigane kudai haki zako. Wanaenda mbali kusema kuwa waislam wasiogope serikali kwani wana historia ya kufanikiwa kila wanalolipigania. Mfano, maandamano dhidi ya sensa nk.
Hivi hii serikali wanasubiri nini kuchukua hatua? Ukimya wa serikali unaibua hofu kuwa labda haya madai lazima yapo.
Haswa hii ndio michango yako JF.
Wewe jamaa punguani sana wewe kipindi cha nyuma si ulikuwa kazi yako humu JF kutukana Waislam, kejeli nyingi unawaita mashekh ubwabwa, akili za madrasa leo unajifanya mtu makini unadhani tumesahau wewe na jamaa yako Maxsimba, Rev Masanilo, mie nipo JF siku nyingi wanafiki wote nawafahamu.
Waislam inaidhalilisha Dini yenu Ndugu zetu nyie mmezidi kulalamika!!Yaani kila kitu lawama Maraisi wote kikwete,Shein. Bilal wote Islamic viongozi wakubwa wakristo ni watatu tu Pinda.Mwamunange na Spika lkn nyie mnalalamika sana mara baraza linawafelisha wakati waziri Muislam! Somo gani mmefelishwa eti islamic knowledge!! Somo ambalo halikusaidii lolote kwenye dunia ya sasa!! eleweni Kulalamika bila sababu ya msingi ni kujidhalilisha!!
Frankly speaking, uislam una mafundisho mengi mazuri lakini si yote. Pamoja na hayo kinachokosekana miongoni mwa waislam ni (uvumilivu)torelance na kujiamini. Alwayz wanajifeel inferior. Na kwa hakika kuishi nao lazima uwe mvumilivu
my take
Siku wakiristo wakikosa uvumivu hapo ndipo shughuli itakapoanza. Naomba Mungu aendelee kuwapa uvumivu wakiristo wenzangu ili tusifike huko waislam wanapotaka tufike.
Kamanda punguza munkari! Hizo mamba ulizozitaja zimewasaidia sana waislam