Hhahaaaaa nimekuelewa sanaView attachment 512047 Hii ya mahari ya kuku halafu siri ya ndani nje
Utaalamu wa Shekhe Yahya huoNimesikia kuna popo bawa ndiyo na mimi ninataka kujua kutoka kwa mtaalamu Mshana.
Unapochutama uchi ukiwa umechanua miguu chooni unajua linaona nini huko ulikolielekeza?
Hakika mkuu mshana jr umestaarabika sana,jinsi ulivyo mjibu huyo jamaaAisee na bado unaendelea kuzifuatilia kwa karibu na kuchangia kama hivi...... Ungepita kimya ingekupunguzia maumivu mengi
Mtu anapofikia hatua hii yako ni wa kumhurumia tu maana hujashikiwa kisu wala kulazimishwa kusoma... Usije jipa stress za bure... Ukiona new post by mshana jr pita mbali
BTW nakupongeza kwa kutoa dukuduku
Nikama vile unapomwaga mafuta ya taa katika shimo,kama nyoka wamo hakuna namna lazima wachomoze tuuuSometimes mada chokonozi kama hizi huwatoa nyoka Shimoni..... Dunia ina mengi na chini ya mapaa ndani ya kuta nne yamejificha mengi... Ukitaka uyafahamu hutumii nguvu unatumia akili
Bro kwanza asante kwa huko unakosema kusoma biblia,naomba Mungu akujalie sasa kuielewa maana hatua ya kwanza ya kuisoma yamkini umeiweza,Usikurupuke kama hujaelewa uliza usiogope utaelimishwa.... Hebu niambie kwanini Mungu alimruhusu shetani amjaribu Ayubu.... Ukisoma kitabu cha Ayubu unaona kwamba shetani ana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu.. Na ni Mungu huyo huyo aliyempa shetani milki ya ulimwengu
Vipi ndugu maandiko huwa unasoma ana unasomewa? Je unaelewa? Nina mifano zaidi ya kumi kuthibitisha nilichoandika SIJAKURUPUKA
Mshana Jr nimeipenda hii threadKabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii....
Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi
Mungu aliipiga dunia na mapigo mawili la moto na la maji (gharika) maji hutengeneza uhai kwahiyo hili halikuwa pigo baya sana kwakuwa pia aliandaa safina kwa wateule wake wale watakaotii sauti ya mlawi wake NUHU
Pigo la pili lilikuwa kwenye miji ya SODOMA NA GOMORA.... hapa watu waliishi kwa anasa kubwa na wakafanya yaliyo CHUKIZO KUBWA mbele zake ...Mtumishi aliyepokea maono na kuamriwa aondoke SODOMA ni Lutu na mke wake na mabinti wao wawili, kabla moto haujashuka kuangamiza wadhambi
Sharti lilikuwa moja watakapoondoka asiwepo wa kugeuka nyuma LA sivyo atageuka jiwe LA chumvi.. Mke wa Lutu "aligeuka nyuma" na neno likatimia
Mwili wa binadamu una namna yake ya kujisafisha na kutoa uchafu.. Lakini uchafu unaoheshimika sana ni kinyesi.. Uchafu huu hujengewa sehemu maalum na kuhifadhiwa vema
Iweje Leo wewe kiumbe lile tundu linalochungulia mlango wa kuzimu unataka kulitumia? Unapochutama uchi ukiwa umechanua miguu chooni unajua linaona nini huko ulikolielekeza?
Kweli watu mna guts za ajabu LAKINI Mmh haya ila msisahau nini kiliiangamiza kwa moto SODOMA na GOMORA