Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Aisee na bado unaendelea kuzifuatilia kwa karibu na kuchangia kama hivi...... Ungepita kimya ingekupunguzia maumivu mengi
Mtu anapofikia hatua hii yako ni wa kumhurumia tu maana hujashikiwa kisu wala kulazimishwa kusoma... Usije jipa stress za bure... Ukiona new post by mshana jr pita mbali
BTW nakupongeza kwa kutoa dukuduku
Hakika mkuu mshana jr umestaarabika sana,jinsi ulivyo mjibu huyo jamaa
FB_IMG_1494327885659.jpeg
 
Sometimes mada chokonozi kama hizi huwatoa nyoka Shimoni..... Dunia ina mengi na chini ya mapaa ndani ya kuta nne yamejificha mengi... Ukitaka uyafahamu hutumii nguvu unatumia akili
Nikama vile unapomwaga mafuta ya taa katika shimo,kama nyoka wamo hakuna namna lazima wachomoze tuuu
 
Usikurupuke kama hujaelewa uliza usiogope utaelimishwa.... Hebu niambie kwanini Mungu alimruhusu shetani amjaribu Ayubu.... Ukisoma kitabu cha Ayubu unaona kwamba shetani ana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu.. Na ni Mungu huyo huyo aliyempa shetani milki ya ulimwengu
Vipi ndugu maandiko huwa unasoma ana unasomewa? Je unaelewa? Nina mifano zaidi ya kumi kuthibitisha nilichoandika SIJAKURUPUKA
Bro kwanza asante kwa huko unakosema kusoma biblia,naomba Mungu akujalie sasa kuielewa maana hatua ya kwanza ya kuisoma yamkini umeiweza,
Skia nikuambie kitu mkuu,
Hiyo nukuu ya Ayoub haiongelei shetani kuwa na uungu,wala maana yake si kuonesha shetani ana uungu,ili kukusaidia kujua zaidi juu ya hili na maana yake tafuta vitabu rahisishi vya fafanuzi za biblia maana kuelewa we km ww inakutatiza,na si vibaya,
Halafu umeeleza jambo ambalo wala sikukataa,sikukataa mawasiliano ya Mungu na shetani,sijakataa juu ya nguvu zake,maana hata sasa wapo watu wana nguvu na hupata hata maono na mawasiliano na Mungu sasa nao unataka sema wana uungu?,
Kinachokusumbua unatumia maneno na ujuzi ule unaotumia kueleza mambo ya kidunia kueleza mambo ya MUNGU,
Lengo lako lilikuwa jema lakini namna na maneno ulotumia yamefanya iwe km unaongelea habari za ushirikina,
Narudia kusema shetani hana chembe chembe za UUNGU,nayasema haya kwa kuangalia asili yake,
Lkn km unataka tujadili kwa mapana kuhusu Shetani na Mungu sema,na leta vifungu toka BIBLIA tubadilishane elimu,
Nadhani ukae tu ujiulize kilichofanya useme shetani ana UUNGU,
Mi nadhani kurekebisha kauli haitakupunguzia sifa yako ya utaalamu,ujuzi nk mambo ambayo naona una hofu kuonekana hauna,
Hata wataalamu na wajuzi wanakosea pia
Shetani hana,hatakuwa na hajawahi kuwa na UUNGU,
 
Kabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii....
Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi
Mungu aliipiga dunia na mapigo mawili la moto na la maji (gharika) maji hutengeneza uhai kwahiyo hili halikuwa pigo baya sana kwakuwa pia aliandaa safina kwa wateule wake wale watakaotii sauti ya mlawi wake NUHU
Pigo la pili lilikuwa kwenye miji ya SODOMA NA GOMORA.... hapa watu waliishi kwa anasa kubwa na wakafanya yaliyo CHUKIZO KUBWA mbele zake ...Mtumishi aliyepokea maono na kuamriwa aondoke SODOMA ni Lutu na mke wake na mabinti wao wawili, kabla moto haujashuka kuangamiza wadhambi
Sharti lilikuwa moja watakapoondoka asiwepo wa kugeuka nyuma LA sivyo atageuka jiwe LA chumvi.. Mke wa Lutu "aligeuka nyuma" na neno likatimia
Mwili wa binadamu una namna yake ya kujisafisha na kutoa uchafu.. Lakini uchafu unaoheshimika sana ni kinyesi.. Uchafu huu hujengewa sehemu maalum na kuhifadhiwa vema
Iweje Leo wewe kiumbe lile tundu linalochungulia mlango wa kuzimu unataka kulitumia? Unapochutama uchi ukiwa umechanua miguu chooni unajua linaona nini huko ulikolielekeza?
Kweli watu mna guts za ajabu LAKINI Mmh haya ila msisahau nini kiliiangamiza kwa moto SODOMA na GOMORA
Mshana Jr nimeipenda hii thread
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom