johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mwanaharakati huru Deusi Kibamba amesema figisu za uchaguzi zilianzia kwenye kura za maoni za CCM na wale waliopitishwa ndio " hao" wanaolazimishwa kupita bila kupingwa.
Kibamba amedai kuwa demokrasia ya Tanzania imegawanywa katika vipande viwili wale wanaoruhusiwa kufanya siasa na wale waliozuiwa na hii ni hatari kwa ustawi wa jamii.
Mwisho mwanaharakati huyu anasema uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020 unaweza kuweka historia ya kuhusisha wapiga kura wachache zaidi kuwahi kutokea kwani wapiga kura halisi wamekatishwa tamaa.
Source BBC Dira ya Dunia
Kibamba amedai kuwa demokrasia ya Tanzania imegawanywa katika vipande viwili wale wanaoruhusiwa kufanya siasa na wale waliozuiwa na hii ni hatari kwa ustawi wa jamii.
Mwisho mwanaharakati huyu anasema uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020 unaweza kuweka historia ya kuhusisha wapiga kura wachache zaidi kuwahi kutokea kwani wapiga kura halisi wamekatishwa tamaa.
Source BBC Dira ya Dunia