Kuna ukabila wa waziwazi atakayejifanya ni kipofu halioni hili shauri yake, lakini tunapoelekea ni giza nene,N nchi nzima inaona wapinzani wasukuma wote wamehamia kwake...live kwenye TV...
Hadi Aninelea Nkya yuko kiimya...
Hata kujadili kupanda kwa bei ya Sukari kutoka 1,800/ mapaka elf 4kwa nini kibamba yuko kimya kuhusu magifuli? swali gani hilo! pengine yeye kama watanzania wengi anamuunga mkono rais. pengine hajatumbuliwa. pengine hana ndugu yake katumbuliwa. pengine yeye sio fisadi. pengine yeye sio nyumbu. pengine yeye hana hasira kushindwa uchaguzi wa mwaka jana........
Deus Kibamba, mwenyekiti wa JUKATA, Jukwaa la Katiba Tanzania.Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...
Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?
Why now yuko kiimya na Magufuli?
Ndo kawaida ya wamawia sishangai vibudu mnavyokula vinawafanya bongo zenu zisifanye kazi sawasawaWacha mambo ya udini wewe kwenye kila jambo, punguani
Kama wewe ulivyokuwa mtumwa!Tatizo lako dini imekufanya kuwa mtumwa wa fikra
Kwa hyo dini nyingine haina haki ya kutoa rais wa nchi hii!? Ahaaa ajabu sana!Aliye tangulia katangulia tu mkuu ni sawa na jeshini kuruta lazima apige saluti kwa mkubwa wake
Wewe ndiyo nyamaza kabisa mla chimunu na matamba kila kukicha na kufuga ndondocha au unafikiri sikujuu? Kunyamaza ni bora kuliko kupayuka maana humjui adui yakoNdo kawaida ya wamawia sishangai vibudu mnavyokula vinawafanya bongo zenu zisifanye kazi sawasawa
Mbona maajabu yapo tu?Kwa hyo dini nyingine haina haki ya kutoa rais wa nchi hii!? Ahaaa ajabu sana!
Ukiona mtu ana attach irrelevant issue kwenye main topic ujue kaishiwa hoja, unijue ama usinijue it is non of my business, najua hoja imekugusaWewe ndiyo nyamaza kabisa mla chimunu na matamba kila kukicha na kufuga ndondocha au unafikiri sikujuu? Kunyamaza ni bora kuliko kupayuka maana humjui adui yako
100% wenye tabia kama hii ya kujibu taarabu mara nyingi ni wanapatikana jinsia ya KEMbona maajabu yapo tu?
UUmeongea kitu very very interesting....