The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
- Thread starter
- #21
Hahaha, hii ndio Tanzania bhana, kutana na wasomi wachambuzi...wenye "njaa" na walio "shiba"
Kuna kipindi niliwahi kumuona uswahilini akila kilaji......
Bongo hapa watu wana namna nyingi za kutafuta maisha...JK huko alipo atakuwa ana mengi Sana kuyasimulia
JK akiandika kitabu cha siku za Ikulu...na Mkapa pia tutajua mengi