Deus Kibamba ni nani?

Deus Kibamba ni nani?

If you can't fight them join them.Kuna ambao wanakaa kimya kwa hofu hasa kwa kuzingatia msimamo uliokwishatolewa.wengine wanatekeleza msemo "mtumikie kafiri,upate mradi wako"
 
Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...

Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?

Why now yuko kiimya na Magufuli?

Milambo secondary, Tabora kwenye miaka ya 1990 - 1992 A LEVEL,udsm social science.....
Formerly Head of Governance and Capacity Building at the Economic and Social Research Foundation,jukwaa la katiba,tgnp .......

mwanaharakati sio lazima ulipwe..............
 
Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...

Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?

Why now yuko kiimya na Magufuli?

Deus Kibamba ni Mhadhiri masuala ya kidiplomasi katika chuo cha Diplomasia Kurasini
Ni mchambuzi wa masuala ya kisheria na alishiriki katika katiba pendekezwa
Anapenda kuangalia taarifa za habari 24/7
 
Deus Kibamba ni Mhadhiri masuala ya kidiplomasi katika chuo cha Diplomasia Kurasini
Ni mchambuzi wa masuala ya kisheria na alishiriki katika katiba pendekezwa
Anapenda kuangalia taarifa za habari 24/7


Amedhihirisha unafiki wake sasa
 
Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...

Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?

Why now yuko kiimya na Magufuli?
kwani akiwa kimya na MAGUFULI ni tatizo? wewe ulitaka afanye nini kuhusu Rais wetu?????
 
Mimi nilimsikia akiongelea kuampishwa kwa Donald Trump, nimesahau TV gani na siku gani maana sikuona umuhimu wala wa kangalia ila nilishindwa kuziba masikio. Sijui km ana tofauti na mwezake mtangaza chama
 
Back
Top Bottom