babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,751
Wakala wa msikiti wa nini? Hiyo ni kazi ya kanisa. Wao hawataki kuona raisi muislamuUnaonekana unajua mengi, tuambie wakala wa misikiti kwenye utawala wa Magufuli ni nani.?
Wakala wa msikiti wa nini? Hiyo ni kazi ya kanisa. Wao hawataki kuona raisi muislamuUnaonekana unajua mengi, tuambie wakala wa misikiti kwenye utawala wa Magufuli ni nani.?
Aliye tangulia katangulia tu mkuu ni sawa na jeshini kuruta lazima apige saluti kwa mkubwa wakeHaina wakala sbb msikiti unaamini tz ni ya wote, lakini upande mwingine unaamini tz ni ya kwao naona tabia hiyo walirithishwa kutoka kwa mkoloni mwingereza
Ni heshima kubwa kwangu kuniweka kundi moja na Deus Kibamba. Huyu ni mwanaharakati shupavu wa Jukwaa la Katiba. Mimi sii mwanaharakati bali ni mwandishi huru wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea nikijikita katika habari za kimaendeleo.Huyo na Pascal Mayalla hawana tofauti
Huyu anaishi vipi?
source ya kipato chake ni nini?
isije kuwa CCM ndo wanamlipa kwenye hizi 'harakati' zake
unauliza majibu analipwa na nani? kwan Dr mihogo analipwa na nani?Huyu anaishi vipi?
source ya kipato chake ni nini?
isije kuwa CCM ndo wanamlipa kwenye hizi 'harakati' zake
Ni heshima kubwa kwangu kuniweka kundi moja na Deus Kibamba. Huyu ni mwanaharakati shupavu wa Jukwaa la Katiba. Mimi sii mwanaharakati bali ni mwandishi huru wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea nikijikita katika habari za kimaendeleo.
Paskali
Wapi wewe nenda nane nane ukaulize maswali ya kindezi! Wewe ni mchumia tumbo namba moja hapa Tanzania na ni kanjanja mbaya hata elimu yako inaonyesha inamushkeli, eti habari za maendeleo nyoooo maendeleo yapi mkuu? Unajua usifikiri kila mtu ana akili za kuvukia barabara mkuu!Ni heshima kubwa kwangu kuniweka kundi moja na Deus Kibamba. Huyu ni mwanaharakati shupavu wa Jukwaa la Katiba. Mimi sii mwanaharakati bali ni mwandishi huru wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea nikijikita katika habari za kimaendeleo.
Paskali
Toka Magufuli ashinde amekuwa kimya saana
lazima umsahau......'mission accomplished'
Hapa chini umesema "this is new to me" hapo juu umesema "mission accomplished"Labda neno 'interesting' limekuchanganya
nikisema interesting sio lazima nikubaliane ni kweli
interesting inaweza pia kumaanisha 'this is new to me'
Unaweza kutusaidia sababu za yeye na genge lake kuwa kimya? Katiba mpya,ukuta,magazeti kufungiwa, hayaoni?Tatizo lako dini imekufanya kuwa mtumwa wa fikra
Hapa chini umesema "this is new to me" hapo juu umesema "mission accomplished"
Sasa sijui ni mission ipi hiyo ambayo iko accomplished kwa kitu ambacho hukijui
Oh kumbe ,sawa sawaNew to me kama alitumwa na kanisa..sijui
Mission accomplished ya Magufuli kushinda maybe....nina assume tu...
kinachomfanya awe kimya baada ya Magufuli kushinda
Jambo moja ambalo naona watanzania wengi hatujui kuhusu hawa watu wa aina ni hili: mishipa ya aibu ilishakufa zamani kabisa. Kwa kifupi ukisema unaandika au kuwasema ili uwaumbue unajisumbua bure. Wako tayari kuachama mbele ya kadamnasi bila nguo na wasione taabu yoyote. Leo nimesikiliza wazungumzaji waliokaribishwa kusalimia wananchi wa Mwanza kwenye viwanja wa furahisha wakati Magufuli anahutubia (walikuwa ni wabunge, madiwani na wachumia tumbo kama Shibuda) nilijikuta naona aibu mimi kwa jinsi walivyokuwa wanampamba rais. Ah... mimi siwezi kabisa!Wapi wewe nenda nane nane ukaulize maswali ya kindezi! Wewe ni mchumia tumbo namba moja hapa Tanzania na ni kanjanja mbaya hata elimu yako inaonyesha inamushkeli, eti habari za maendeleo nyoooo maendeleo yapi mkuu? Unajua usifikiri kila mtu ana akili za kuvukia barabara mkuu!
Jambo moja ambalo naona watanzania wengi hatujui kuhusu hawa watu wa aina ni hili: mishipa ya aibu ilishakufa zamani kabisa. Kwa kifupi ukisema unaandika au kuwasema ili uwaumbue unajisumbua bure. Wako tayari kuachama mbele ya kadamnasi bila nguo na wasione taabu yoyote. Leo nimesikiliza wazungumzaji waliokaribishwa kusalimia wananchi wa Mwanza kwenye viwanja wa furahisha wakati Magufuli anahutubia (walikuwa ni wabunge, madiwani na wachumia tumbo kama Shibuda) nilijikuta naona aibu mimi kwa jinsi walivyokuwa wanampamba rais. Ah... mimi siwezi kabisa!
kwa nini kibamba yuko kimya kuhusu magifuli? swali gani hilo! pengine yeye kama watanzania wengi anamuunga mkono rais. pengine hajatumbuliwa. pengine hana ndugu yake katumbuliwa. pengine yeye sio fisadi. pengine yeye sio nyumbu. pengine yeye hana hasira kushindwa uchaguzi wa mwaka jana........Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...
Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?
Why now yuko kiimya na Magufuli?
Alichosema jamaa ndicho hasa ulichotaka kusema. Ila kwakuwa unapenda kuwa diplomatic hukusema directly!UUmeongea kitu very very interesting....
kwa nini kibamba yuko kimya kuhusu magifuli? swali gani hilo! pengine yeye kama watanzania wengi anamuunga mkono rais. pengine hajatumbuliwa. pengine hana ndugu yake katumbuliwa. pengine yeye sio fisadi. pengine yeye sio nyumbu. pengine yeye hana hasira kushindwa uchaguzi wa mwaka jana........
Alichosema jamaa ndicho hasa ulichotaka kusema. Ila kwakuwa unapenda kuwa diplomatic hukusema directly!
Mimi pia nilidhamsahau huyu mpiganaji wa Jukwaa la Katiba maana yuko kimya sana. Lakini tusimhukumu maana ndo kwanza tu serikali hii imeanza kazi hata mwaka haujaisha. Hata Kikwete hakuwa na wanaharakati wa kumpinga miaka yake ya kwanza ya uongozi-2006-2007. Naamini watu watakuwa very vocal miaka 2 ya mwisho ya uongozi wa Magufuli, bila kujali mikwara inayopigwa na vyombo vya dola.
Hata hivyo, wanaharakati wa msimu wapo. Ktk utawala wa Kikwete, hakuna mtu alichukiwa na Ponda na wafuasi wake kama Ndalichako. Hata pale 'alipoondolewa' Necta, kwa Ponda ilikuwa kilele cha mafanikio yake. Leo Ndalichako ana jukumu kubwa zaidi ya lile na Necta na Ponda yuko kimya. Je Ponda alikuwa anatumwa na nani?
Kuishiwa ndiyo kukoje?Duh kweli mmeishiwa... Mtu akizungumzia siasa za nje nayo ishakuwa kosa? Mnataka hao 'wanaharakati' wenu wamtukane Magufuli tu ndio wanakuwa mashujaa.