Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

Mkuu naweza kupata ramani(two-story house) ya vyumba vinne kikiwemo na master but hiyo master iwe floor ya juu.Chini iwe na vyumba vitatu juu chumba kimoja tu ambacho ni master

Ndio, tupatie contact zako.
 
Mkuu naweza kupata ramani(two-story house) ya vyumba vinne kikiwemo na master but hiyo master iwe floor ya juu.Chini iwe na vyumba vitatu juu chumba kimoja tu ambacho ni master

Ungeacha mawasiliano hapo
 
ImageUploadedByJamiiForums1431235690.885039.jpg kwa wale ambao bado chukua hii, nimeijenga mimi, pia kama unataka usimamizi nipo nitafute.
 
Ni vema, kujenga japo ujenzi ni gharama, hivo fanya maandalizi mapema kwa awamu
 
Mkuu naweza kupata ramani(two-story house) ya vyumba vinne kikiwemo na master but hiyo master iwe floor ya juu.Chini iwe na vyumba vitatu juu chumba kimoja tu ambacho ni master

Yes, utavipata vyote
 
Duh, bati 38? bati gani mkuu?
Unajitahidi sana kubuni mkuu, ramani zako naona ziko original na zinavutia.
Kajumba ka vyumba vitatu, kadogodogo lakini master iwe pana kidogo, pia madirisha huwa napenda narrow windows, kuna nyumba moja niliwahi kuona, madirisha yalikuwa narrow kiasi kwamba ukubwa wa dirisha kubwa umegewanya na kuwa vidirisha vitatu vidogovidogo virefu ilinivutia sana, hauna mfano wowote wa namna hiyo mkuu? Na je gharama zako zikoje kwa mchoro wa vyumba vitatu?

Yes, vyote vinapatikana
 
quote_icon.png
By Preta
Uuuwiii......asante kwa kunijuza bei......sasa nikienda bank nawaambia mimi ni nani.......ili wanikopeshe hela......?.........


Unawaambia wewe ni Dr. Preta, mwanachama maarufu wa JF na bilionea wa Yaeda chini

acheni kutania yaeda chini
 
Naomba ifahamike kuwa unapohitaji nyumba, ni wewe mwenye specifiation kwamba nyumba yako iweje, na unapenda technical style zipi, na ujenzi wake ni wa aina gani, kwahiyo ukija na full details ni rahisi kukwambia hiyo nyumba ina gharimu bei gani,.

Ukiwa na sketches ukazituma, deed plan za viwanja vyako, pia itasaidia kutambua setbacks na wapi jengo likae.

MKUU PAMOJA NA KWAMBA UMETOA CONTACT NAOMBA KUJUA UNAPATIKANA WAPI NA WAPI?Je mnafanya kazi nchi nzima I mean mna offices kila mkoa nchini au mpo kwenye mikoa yenye maendeleo tu?
 
MKUU PAMOJA NA KWAMBA UMETOA CONTACT NAOMBA KUJUA UNAPATIKANA WAPI NA WAPI?Je mnafanya kazi nchi nzima I mean mna offices kila mkoa nchini au mpo kwenye mikoa yenye maendeleo tu?

Ni rahisi sana piga simu
 
Huo ujenzi wa ki-BoQ mkuu mmhh!!! nilidhani muulizaji yuko kibongobongo zaidi. Tukienda kwa utaratibu huo tunaweza kutishana tusithubutu kuanza.

Uko sahihi
 
Nyumba ni nzuri sana ukiweza kupata Fundi Wa kuweza kujenga km inavyoonekana. Siyo mtu anajenga jumba kubwa anamaliza kiwanja chote bila kuacha hata sehemu ya kupumzikia nje.

Landscape design, ni muhimu sana
 
Mkuu nahitaji ramani ya vyumba 3 kama sample kwanza na gharama kwa ujumla hata kwa makadirio tu.

Ndio, unazipata tu.je plot ni high, medium or low density!?
 
Back
Top Bottom