Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

Jerhy

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
3,135
Reaction score
1,001
Je ungependa kujenga kwa utaratibu wa ramani, basi usisite kunialika kuja site kuchukua vipimo na kukuandalia mchoro wa ramani kwa vipimo na kujua gharama za majenzi pia.
 

Attachments

  • jepg jerhy2.PNG
    jepg jerhy2.PNG
    184.3 KB · Views: 1,422
Last edited:
Kwa ujenzi wa kawaida na ule unaofuata taratibu za mipango miji, njoo ujipatie ramani za vyumba 2, 3, 4. Mfano hiyo chini hapo ni ya vyumba viwili Ina mita 8 kwa 11 haina corido ubunifu mpya wa sasa, ndani kuna master, chumba kimoja kawaida, choo public, stoo, jiko, sebule na dining.

Call or Whatsapp: +255787459850

Mkuu........mpaka hiyo nyumba ifike kama inavyoonekana hapo kwenye picha.......natakiwa niwe na sh ngapi..........?........
 
Kwa ujenzi wa kawaida na ule unaofuata taratibu za mipango miji, njoo ujipatie ramani za vyumba 2, 3, 4. Mfano hiyo chini hapo ni ya vyumba viwili Ina mita 8 kwa 11 haina corido ubunifu mpya wa sasa, ndani kuna master, chumba kimoja kawaida, choo public, stoo, jiko, sebule na dining.

Call or Whatsapp: +255787459850

kazuri sana suitable kwa kaeneo ka futi 50×50! na unapata kaeneo ka kuzungushia ukuta am i right?
 
Nyumba ni nzuri sana ukiweza kupata Fundi Wa kuweza kujenga km inavyoonekana. Siyo mtu anajenga jumba kubwa anamaliza kiwanja chote bila kuacha hata sehemu ya kupumzikia nje.
 
Mkubwa ujenzi huo na kwa mwonekano huo kwa uchache itagharimu shilingi ngapi
Asante mkuu
 
Mkuu........mpaka hiyo nyumba ifike kama inavyoonekana hapo kwenye picha.......natakiwa niwe na sh ngapi..........?........
Preta nyumba inaongezeka gharama kutokana na finishing inategemea unataka quality gani kwenye finisjing lakini roughly inaweza kusimama 25ml kama finishing zako zitakuwa sio za quality ya hali ya juu sana.
 
Last edited by a moderator:
Preta nyumba inaongezeka gharama kutokana na finishing inategemea unataka quality gani kwenye finisjing lakini roughly inaweza kusimama 25ml kama finishing zako zitakuwa sio za quality ya hali ya juu sana.

Asante sana........ila kwa wakati tuliopo........finishing ni ghali kuliko hata nyumba yenyewe.........acha kabisa..........
 
Last edited by a moderator:
Hawa watu wanaoleta hizi pics I doubt Kama kweli n wao wanachora na kusanifu, the reason , kwa nini wakiweka picha tu , wanaondoka, hawajibu maswali, hawashiriani na wahitaji kujibu maswali Yao. Kuna mmoja alikuwa anaweka adverts hapa za kudesign logo,kila ukimcheki,Mara Nipo Arusha, dodoma sijui tandahimba. Why put advert if you can't even stand for it?
 
Back
Top Bottom