Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

nimekutumia meseji PM na nimekupigia cm no response at all, why?

Njia rahisi zaidi hata sms tu inatosha, miced call ni nyingi, nikipitia kila mojawapo naambiwa sory wrng no, try text msg
 
Vyumba vitatu, ndani kuna master mbili na study room na chumba kimoja kawaida. Kona ya nyumba hii ni round, new techinique in design kwenye picha ni hizo sehemu zenye vitofali.
 
Vyumba vitatu, ndani kuna master mbili na study room na chumba kimoja kawaida. Kona ya nyumba hii ni round, new techinique in design kwenye picha ni hizo sehemu zenye vitofali.

Jerhy,

Nice work!
Nimekuwa nikifatilia uzi zako mbalimbali za ramani,kwa hakika unastahili pongezi,Hebu nipevulie hiyo nyumba ya vyumba vitatu ya bati la Blue imejumuisha nini, Aksante
 
Jerhy,

Nice work!
Nimekuwa nikifatilia uzi zako mbalimbali za ramani,kwa hakika unastahili pongezi,Hebu nipevulie hiyo nyumba ya vyumba vitatu ya bati la Blue imejumuisha nini, Aksante

Vyumba vitatu. Plot ya 20 kwa 20 inatosha.
Ukubwa wa nyumba ni 11.0x12.6m.
Kuna,
1. bedroom size 3.0x3.0m,
2. bedroom size 3.0x3.0m,
- kitchen size 2.5x3.0m,
3. master bedroom size 3.0x4.0 na
- lounge/sitting room size 4.0x4.0m.
-Store room size 1.5x2.8m.
 
Jerhy,

Nice work!
Nimekuwa nikifatilia uzi zako mbalimbali za ramani,kwa hakika unastahili pongezi,Hebu nipevulie hiyo nyumba ya vyumba vitatu ya bati la Blue imejumuisha nini, Aksante

Waweza toa specification nyumba yako iweje ukaandaliwa pia.
 
Vyumba vitatu. Plot ya 20 kwa 20 inatosha.
Ukubwa wa nyumba ni 11.0x12.6m.
Kuna,
1. bedroom size 3.0x3.0m,
2. bedroom size 3.0x3.0m,
- kitchen size 2.5x3.0m,
3. master bedroom size 3.0x4.0 na
- lounge/sitting room size 4.0x4.0m.
-Store room size 1.5x2.8m.

Je nyumba hii haina dinning room
 
Mimi ungenisaidia sana kama ungesema bei ya ramani zako, hiyo mambo ya gharama za ujenzi tusidanganyane, hiyo 10M - 20M ni kusimamisha boma tu, finishing ni mfuko wako.

Mtaalamu hebu tupe bei ya michoro kwa kila aina ya nyumba uliyoweka hapa.
 
Mimi ungenisaidia sana kama ungesema bei ya ramani zako, hiyo mambo ya gharama za ujenzi tusidanganyane, hiyo 10M - 20M ni kusimamisha boma tu, finishing ni mfuko wako.

Mtaalamu hebu tupe bei ya michoro kwa kila aina ya nyumba uliyoweka hapa.

Ni rahisi sana piga simu
 
Ni kweli mkuu cha muhimu ni kuwa tu na malengo na kuthubutu, usisubir mpaka upate pesa nyingi ndio ujenge hizo hizo kidogo anza nazo, hapa nimesimamisha vyumba vitatu kimoja kikiwa master, siting room dining jiko, public toilet korido na ina baraza moja, nimetumia jumla ya tsh 3,500,000. najikusanya tena kwa bati na mbao maana itaingia bati kama 70 hivi za ki tz

Pongezi kwa kazi njema
 
Jerhy,

Nice work!
Nimekuwa nikifatilia uzi zako mbalimbali za ramani,kwa hakika unastahili pongezi,Hebu nipevulie hiyo nyumba ya vyumba vitatu ya bati la Blue imejumuisha nini, Aksante

Detail zote zipo pale, je umepitia vizuri.
 
Mkuu Jerhy nahitaji kujenga a studio apartment with standard finishing materials...I have 8m...itawezekana???

Location Dar es salaam

Ndio inawezekana
 
Last edited by a moderator:
sasa hapo ndio patamu!!

mbona naamini Mungu?

lbd kuna imani ya ziada?

mbona najitahidi kuisaka sh??

mbona ctoki kama wenzangu??

mbona cfanikiwi???

kila kukicha heri ya jana...

lbd kuna ninapokosea ila cjajua ni wapi!!!

Soma Isaya 43:26

Jibu kamili la maswali yako
 
Mkuu naweza kupata ramani(two-story house) ya vyumba vinne kikiwemo na master but hiyo master iwe floor ya juu.Chini iwe na vyumba vitatu juu chumba kimoja tu ambacho ni master
 
Back
Top Bottom