Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

You can only get what you want!, kuna wengine wameridhika na nyumba ya kupanga, hivyo ni wapangaji maisha yao yote!. Wapo walioridhika na usafiri wa daladala, hivyo wao ni dala dala tuu. Na kwenye magari watu wa hama, wapo, watu wa vogi, wapo, chopa wapo, na juzi nimekuta kuna ki jet kipepark pale airport nikaaambia ni ki jet cha mtu!. You can only get what you want!. Mimi wish yangu ilikuwa boda boda, nilipata na nikapata nayo ajali, sasa niko kwenye bajaj!.

Pasco
Though umeleta kautani kidogo lakini ni ukweli mtupu maisha tunaypishi ni uchaguzi wetu wenyewe, inaweza tusifike juu sana ila tukasogea kutoka maisha ya awali ambayo hayakuwa mazuri kwenda kwenye maisha ambayo ni standard kama kweli tuna nia ya dhati tatizo tu muda tunautumia vibaya hasa pale watu wanapokuwa hawana majukumu (kila kama ali balance mambo yake kipindi hiki wengi wanakuwa vizuri though hakuna formula ya mafanikio kikubwa nia ya dhati ya kutaka kubadilika na kuchukia mfumo wa maisha ambao ulikuwa unaishi
 
Mkuu Jerhy nahitaji kujenga a studio apartment with standard finishing materials...I have 8m...itawezekana???

Location Dar es salaam

Piga simu
 
Last edited by a moderator:
Ujenzi ni hatua, nunua kiwanja kwanza, kusanya material za ujenzi, mawe, tofali, mchanga, n.k
 
Mkuu. Nini maana ya kirefu cha BOQ ?.
Asante kwa maelezo yako ila usikimbie jukwaa , please endelea kujibu maswali ya raia.

Unatumia net kuchat tu badala ya ku google kitu kidogo kama hicho
 
Jiwekee malengo kuwa ipo siku utajenga tu nyumba yako
Ni kweli mkuu cha muhimu ni kuwa tu na malengo na kuthubutu, usisubir mpaka upate pesa nyingi ndio ujenge hizo hizo kidogo anza nazo, hapa nimesimamisha vyumba vitatu kimoja kikiwa master, siting room dining jiko, public toilet korido na ina baraza moja, nimetumia jumla ya tsh 3,500,000. najikusanya tena kwa bati na mbao maana itaingia bati kama 70 hivi za ki tz
 
Ni kweli mkuu cha muhimu ni kuwa tu na malengo na kuthubutu, usisubir mpaka upate pesa nyingi ndio ujenge hizo hizo kidogo anza nazo, hapa nimesimamisha vyumba vitatu kimoja kikiwa master, siting room dining jiko, public toilet korido na ina baraza moja, nimetumia jumla ya tsh 3,500,000. najikusanya tena kwa bati na mbao maana itaingia bati kama 70 hivi za ki tz

Hii nzuri sana, hapo unaweza tumia mpaka milioni 8 nyumba yako ikawa tayari kabisa, na ukahamia. Hatimaye ukaagana na bughudha ya kupanga.
 
Back
Top Bottom