Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,254
- 906
Roofing style upendayo wewe ipo
Yeah, hiyo roofing ni nzuri kwani haitengenezi milango ya popo huko mbele ya safari. Bei ya design zako weka hapa tujipime tukupe kazi mkuu.
Roofing style upendayo wewe ipo
Lakin nahisi hizi ni downloaded picture na ata gharama za hizo nyumba zinawalakini maana inategemea na eneo lenyewe yaani level ya aridhi pia sehemu onako jengwa mfano Dar au simiyu. Kwa Dar nahisi gharama zitakuwajuu zaidi ya 30.
Hata na mimi hapo kwenye idadi ya bati sijaelewa ni size gani, kama ni haya ya kawaida ya 1mx3m/2.5m lazima atakuwa amesahau 1 ya mbele. Yaani idadi ya bati itakuwa zaidi ya 138, tena mjengo wenyewe ni "mapara manne", kwa muezeko wa "mgongo wa tembo" lazima bati zitakuwa zaidi ya 95. Idadi ya mabati 38 yaani bundle 2 (kila bundle ya Simba dumu ya gauge 30 ina jumla ya mabati 16) Hivyo labda uezeke muezeko wa "slope" kwa hizo bati 38 yaani bundle 2 uongeze bati 6![/QUOT]
Hizo hesabu unazopiga wewe je unajua mchoro una vipimo gani!?
Three bedrooms
10x15m
Preta nyumba inaongezeka gharama kutokana na finishing inategemea unataka quality gani kwenye finisjing lakini roughly inaweza kusimama 25ml kama finishing zako zitakuwa sio za quality ya hali ya juu sana.
Utakuwa umemwongopea nyumba ni 8M x 11M = 88 Sqm
Kwa bei za mwaka juzi, 1 sqm = 650,000 hivyo kuwa uchache, thamani ya hiyo nyumba ni 57,200,000
Nyumba ni nzuri sana ukiweza kupata Fundi Wa kuweza kujenga km inavyoonekana. Siyo mtu anajenga jumba kubwa anamaliza kiwanja chote bila kuacha hata sehemu ya kupumzikia nje.
Ha ha ha ni kweli hayo yapo ila nashauri kununua kiwanja kikubwa maana kuna watu wana viwanja 20×20 na anataka nyumba ya vyumba vinne,baraza,parking na garden.Sasa hiyo ni changamoto kwa fundi
Utakuwa umemwongopea nyumba ni 8M x 11M = 88 Sqm
Kwa bei za mwaka juzi, 1 sqm = 650,000 hivyo kuwa uchache, thamani ya hiyo nyumba ni 57,200,000
Hizo ni hesabu za kwenye vitabu nazungumzia kutokana na experience.
Inategemea kama unatengeneza nyumba au mfano wa nyumba. Hiyo nyumba kwa bei za Arusha
Tofali zake hazipungui 5.5 million;
Bati zake mgongo mpana si chini ya 1.5 million
Cement ya kujenga hizo tofali 3000 - 1 million
Mchanga wa kujengea hizo tofali ni kama 1 million
Ufundi msingi na kuta si chini ya 2 million
Material za jamvi sijaweka, mbao/marine board bado, mbao za kupaua. Kwa hivyo vichache tayari 11 million imeshaondoka kwenye 22 million yako. Finishing ya nyumba ni ghali kuliko structure??? Tusidanganyanye kwamba 22 million utakuwa na nyumba yenye choo na kitchen ndani labda madarasa