MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Only? Duh! Kama hivyo jamani kila mtu angejenga.
Kumbuka nimesema inategemea na finishing kama sio ya hali juu lakini akitaka ya hali ya juu inapita hio pesa.
Only? Duh! Kama hivyo jamani kila mtu angejenga.
Usihuzunike kwani ukiamini utajenga utajenga tu kikubwa ni kuthubutu, unajua nyumba inajengwa kwa hatua na wala usifikirie kuzichanga mpaka zifike 20 milion, hatua ya kwanza ni kuzichanga unanunua kiwanja kinakuwa pending tu sehemu alafu hatua ya pili unakusanya materials angalau ya msingi, amini usiamini ukiweza kupiga msingi na ukawa una kipato chako mdogo mdogo unamaliza na huwezi amini.duh! Mungu sianifanyie muujiza!! moyo wangu umehuzunika lkn macho yamefurahia!
Vyumba vitatu
Tuonyeshe na Floor Plan tuone ulivyo sema kuwa ni Mtindo wa Kisasa kuryo kuwa na Corridor.
Kwa ujenzi wa kawaida na ule unaofuata taratibu za mipango miji, njoo ujipatie ramani za vyumba 2, 3, 4. Mfano hiyo chini hapo ni ya vyumba viwili Ina mita 8 kwa 11 haina corido ubunifu mpya wa sasa, ndani kuna master, chumba kimoja kawaida, choo public, stoo, jiko, sebule na dining. Ujenzi substracture tofali 1206 size 230 mm na superstructure tofali 1758 size 150 mm kuezeka ni bati 38 tu. Hapo mengi zaidi join whatsapp group.
Call or Whatsapp: +255787459850
Kumbuka nimesema inategemea na finishing kama sio ya hali juu lakini akitaka ya hali ya juu inapita hio pesa.
Achana na watu wabishi. . . . .
Priced BOQ ni 60Milioni