Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

Mkuu nahitaji ramani ya vyumba 3 kama sample kwanza na gharama kwa ujumla hata kwa makadirio tu.
 
Mtoa mada haya maswali unayajibu pm au umesepa

Mtoa mada hutaki kujibu maswali, akitokea mwingine akaweka diagram, na akaweza kujibu maswali yetu, bac huyo ndo the best

Mkubwa ujenzi huo na kwa mwonekano huo kwa uchache itagharimu shilingi ngapi
Asante mkuu

Gharama zote ni Milioni 10 kwa ujenzi wa kawaida kisha unahamia nyumba yako. Kwa anayetaka complicated finishing na installations ya vitu vya pesa ndefu basi ni 25-30 milioni.
 
Naomba ifahamike kuwa unapohitaji nyumba, ni wewe mwenye specifiation kwamba nyumba yako iweje, na unapenda technical style zipi, na ujenzi wake ni wa aina gani, kwahiyo ukija na full details ni rahisi kukwambia hiyo nyumba ina gharimu bei gani,.

Ukiwa na sketches ukazituma, deed plan za viwanja vyako, pia itasaidia kutambua setbacks na wapi jengo likae.
 
Naomba ifahamike kuwa unapohitaji nyumba, ni wewe mwenye specifiation kwamba nyumba yako iweje, na unapenda technical style zipi, na ujenzi wake ni wa aina gani, kwahiyo ukija na full details ni rahisi kukwambia hiyo nyumba ina gharimu bei gani,.

Ukiwa na sketches ukazituma, deed plan za viwanja vyako, pia itasaidia kutambua setbacks na wapi jengo likae.

mkuu umetisha,ngoja tuzichange tutakutafuta
 
Kwa wanaouliza gharama za nyumba yote kuna vitu viwili lazima utofautishe.
1. Schedual of material
2. Priced BOQ

Kila kitu kina hesabu zake katika ujenzi.
 
Eti...Hivi hiyo ni ramani au picha ya nyumba?!

Picha ya ramani ya nyumba, michoro yake ipo. Kuna kitu kinaitwa image in 3D, ndiyo hiyo unayoiona na image in 2D ndiyo hii hapa chini, kisha kuna drawings zake sasa ambazo ni dimensioned tayari kwa ujenzi.
 
Hizi picha wanachukua kwenye internet. Sio wao wanachora. Tafuta mchoraji mwonyeshe kiwanja atakuchorea raman nzuri tu.
 
Back
Top Bottom