Design simple za Nyumba vyumba 2

Design simple za Nyumba vyumba 2

Mkuu........mpaka hiyo nyumba ifike kama inavyoonekana hapo kwenye picha.......natakiwa niwe na sh ngapi..........?........

Preta pande ile ya Mchechu wa NHC kama hiyo inauzwa shs 70/80 milioni.
 
Mkuu. Nini maana ya kirefu cha BOQ ?.
Asante kwa maelezo yako ila usikimbie jukwaa , please endelea kujibu maswali ya raia.
 
Preta pande ile ya Mchechu wa NHC kama hiyo inauzwa shs 70/80 milioni.

Uuuwiii......asante kwa kunijuza bei......sasa nikienda bank nawaambia mimi ni nani.......ili wanikopeshe hela......?.........
 
Huo ujenzi wa ki-BoQ mkuu mmhh!!! nilidhani muulizaji yuko kibongobongo zaidi. Tukienda kwa utaratibu huo tunaweza kutishana tusithubutu kuanza.

Mkuu. Nini maana ya kirefu cha BOQ ?.
Asante kwa maelezo yako ila usikimbie jukwaa , please endelea kujibu maswali ya raia.

BOQ=Bills of Quantity-Gharama za ukadriaji majenzi, cost estimates......

Ujenzi wa kawaida ukiwa na 10 M unamaliza tu vizuri, yaani plot unayo tayari. Ishu za finishing, decorations, ni vitu vya ziada kutokana na interedt zako, ndio maana kuna coral paint na sadolin,,,,,,
 
Jamani si amesema for more info mu whatsapp au mpigie na katoa # yake?
 
Inawezekana huwa wanakopi na kuoesti. Maana kama wao mdio wabunifu wenyewe hawawezi kukimbia jukwaa kwakuwa wateja wanakuwa na hamu ya kupata bidhaa waliyotangaza. Mimi nashauri watu wasitangaze bidhaa ambayo hawazalishi wao, hawana ujuzi nayo hawafanyi biashara hiyo kwani inakuwa ni kuwapotezea muda watu. Watu serious ungekuta wametoa contacts zao kama simu, email na anwani.

Mbona namba ya simu kaweka? Na anajibu maswali ya watu? Acheni tabia ya kuwakatisha tamaa watu, ukiwa serious humuulizi maswali hapa utampigia.
 
Hawa watu wanaoleta hizi pics I doubt Kama kweli n wao wanachora na kusanifu, the reason , kwa nini wakiweka picha tu , wanaondoka, hawajibu maswali, hawashiriani na wahitaji kujibu maswali Yao. Kuna mmoja alikuwa anaweka adverts hapa za kudesign logo,kila ukimcheki,Mara Nipo Arusha, dodoma sijui tandahimba. Why put advert if you can't even stand for it?

Piga simu, Au Whatsapp +255787459850 utapata huduma.
 
Inawezekana huwa wanakopi na kuoesti. Maana kama wao mdio wabunifu wenyewe hawawezi kukimbia jukwaa kwakuwa wateja wanakuwa na hamu ya kupata bidhaa waliyotangaza. Mimi nashauri watu wasitangaze bidhaa ambayo hawazalishi wao, hawana ujuzi nayo hawafanyi biashara hiyo kwani inakuwa ni kuwapotezea muda watu. Watu serious ungekuta wametoa contacts zao kama simu, email na anwani.

Acha kejeli, sio vizuri na si busara unavyofanya.
 
BOQ=Bills of Quantity-Gharama za ukadriaji majenzi, cost estimates......

Ujenzi wa kawaida ukiwa na 10 M unamaliza tu vizuri, yaani plot unayo tayari. Ishu za finishing, decorations, ni vitu vya ziada kutokana na interedt zako, ndio maana kuna coral paint na sadolin,,,,,,

Yes mkuu, kwa sisi wa Bongo wa kawaida wenye pesa za kubadilisha mboga (siyo mboga zile za 10m), huwa tunaanza msingi taratibu mambo yanaendelea. Lakini tukipigiwa hiyo Bills of Quantities (BoQ) tena ikakwambia 60M na wewe una 5M za kuanzia, unaona safari kama huiwewezi
 
Front view, entrance, upande wa mbele wa nyumba
 
Back
Top Bottom