SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,947
- 2,033
Mchango wake umekuwa mkubwa katika utafsiri wa filamu.nimeona picha mbali mbali alizotia tafsir zake.pumzika kwa amani kapteni derick yusuph mkandala
Kwan hao wanasiasa au ccm ndo wanastahili kufaMtu anaanzaje kizusha kifo cha mwenzake ambaye sio mwanasiasa na wala sio ccm?
ndugu you're so smart I salute! Hii ndio kujua sheria ni kwa wote na sio kwa wachacheAliyezusha kifo chake aunganishwe na yule waaliyemzushia Mwamunyange,kuonesha kuwa hakuna double standards
Mkuu binadamu wote ni sawa lakini wengine ni sawa zaidi. Usije ukafikiri ukitoa taarifa za uwongo kuhusu lofa fulani kuwa kafa udhani watafuatilia. Lakini taja kigogo mmoja tena awe wa serikali kuwa kafa au kafanya jambo fulani baya uone kama utakatizaTCRA mko wapi?
Thubutu! wahangaike na malofa? Hizo sheria zitawagusa wadogo au wapinzani wanapowakosea wakubwa. Wewe huoni watu wa chama twawala wanapanda majukwaani na kuoneshwa live katika tv na kusikika redioni wakimkashifu mgombea wa upinzani kuwa ni mgonjwa, anajikojolea, kajinyea na hawafanywi kitu. Ingekuwa ni wapinzani wanamsema mkuuu pale baharini ambaye ni binadamu ni mgonjwa ungekuta wameshakamatwa kwa kukashifu na kuswekwa ndani kisha kufunguliwa mashitaka ya kutoa maneno ya dharau na kumkashifu kiongozi mkuu.Aliyezusha kifo chake aunganishwe na yule waaliyemzushia Mwamunyange,kuonesha kuwa hakuna double standards
Ametangulia nasi tutafuatia.Tutavimiss vionjo hivi: Aliandaa ngumi inaitwa 'mwangalluka goko', 'piga kwenye kijastibikoz', 'Schwarzenegger alishika bunduki inaitwa kata miti', 'alipigwa loba inaitwa form six', 'piga mtama unaitwa mbagala kwa mangaya'.
Bila shaka we utakuwa mtoto wa kishua