Dawa gani umetumia? Dawa pekee kungarisha ni dilluted solution ya hydrogen peroxideNdugu zangu nataka kumjua Dentist wa Giggy Money.
Nataka kuyafanya meno yangu kuwa meupe nimejaribu kila njia imeshindikana.
Kuna dentist niliwapigia wakasema wao hawana mashine ya kusafisha meno kuwa meupe Ila wana dawa unatumia. Nilisha tumia nyingi in vain nikaona sio kweli.
Kama kuna mtu yoyote ana connection na dentist wa Giggy Money au dentist yoyote Yule anae safisha meno na kuwa meupe ya kun'gaa.
Location Dar Es Salaam.
🙏🙏🙏🙏
Una meno ya Arusha halafu unategemea yangae? SahauNdugu zangu nataka kumjua Dentist wa Giggy Money.
Nataka kuyafanya meno yangu kuwa meupe nimejaribu kila njia imeshindikana.
Kuna dentist niliwapigia wakasema wao hawana mashine ya kusafisha meno kuwa meupe Ila wana dawa unatumia. Nilisha tumia nyingi in vain nikaona sio kweli.
Kama kuna mtu yoyote ana connection na dentist wa Giggy Money au dentist yoyote Yule anae safisha meno na kuwa meupe ya kun'gaa.
Location Dar Es Salaam.
🙏🙏🙏🙏
Mirungi inang’arisha meno?Tafuna mirungi...
Hapo hapoHii ni kwa yule muhindi mkuu?
Wako vizuri sana, akienda hapo hato jutia kabisa.Hapo hapo
Ila kusafisha dental wengi wanafanya anaweza kwenda hata magomeni,muhimbili nk
Ova
Wana customer service nzr sanaWako vizuri sana, akienda hapo hato jutia kabisa.
Kikubwa asiende na mfuko wakuhesabika, Kama kaenda kwa dokta wa dispensary ya manzese.Wana customer service nzr sana
Na utaalam wanao
Ova
Nakazia Na Hoja Imeungwa Mkono Sanameno muhimu yatafune bwan,ming'ao ya kazi gani aaaah
KutyoooMirungi inang’arisha meno?
Hahaha!Kutyooo
Veener ndio niniLabda ni ushamba wangu tu lakini kwa gigy hiyo ni veneer sio kusafisha meno.