Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,152
- 43,109
Kwenye Akadumba sio Gigy Money yuleHuyu Gigi money wa sasa hivi nikimuangalia na Gigi wa "Akadumba" naonaga kama ni watu wawili tofauti.
Kwenye Akadumba sio Gigy Money yuleHuyu Gigi money wa sasa hivi nikimuangalia na Gigi wa "Akadumba" naonaga kama ni watu wawili tofauti.
Ni Gigi money yule dada mwenye kalio kubwaKwenye Akadumba sio Gigy Money yule
Kabisa ila huduma ataifurahiKikubwa asiende na mfuko wakuhesabika, Kama kaenda kwa dokta wa dispensary ya manzese.
Samahani mkuu unaweza ukawa unajua bei zao?Nenda Muhimbili wanatoa hiyo huduma
Kwa Picha alizotuma mkuuNinawasaidia
Ni kidoa na siyo gigy moneyNi Gigi money yule dada mwenye kalio kubwa
Meno bandia una maanisha nini? Ameyavalisha kwa juu? Meno yake yako Wapi halisi. Kayang’oa? Au Ndio hayo ila kaya shepu na ku bleach? Ushamba huu jmn nisaidieKwa Picha alizotuma mkuu
Hayo meno ni Bandia(Veneers)
Kiashiria kikubwa ni meno ya tatu(Canine), ya kawaida yana asili ya mchongoko kwenye picha yote yanafanana kama meno ya mbele(incisors)
Ko kama Bongotunacheza unataka hivyo, sio dawa tena ni daktari(dentist) anahitajika
Mkuu acha ubishi Basi, kwenye ile video Kuna wanawake wawili mmoja ndio huyo video queen wa wimbo anayeiitwa Kidoa yule mwingine bonge ni Gigi MoneyNi kidoa na siyo gigy money
AsanteeNakazia Na Hoja Imeungwa Mkono Sana
Gharama zao ziko vp?0756 257321-empire dental clinic
Wako moroco jirani na airtel
Ova
Kuvutia warembomeno muhimu yatafune bwan,ming'ao ya kazi gani aaaah
Ni nafuu na unalipa kwa awamuGharama zao ziko vp?
heh yaani kabisaa univutie kisa vitafunioKuvutia warembo
AstaghaffillahTafuna mirungi...
We ukiona meno yangu upagawi.. auu unajishaua hapa 😂😂😂😂😂heh yaani kabisaa univutie kisa vitafunio
Mxiiiiiuuuu cheeefuuuuuuWe ukiona meno yangu upagawi.. auu unajishaua hapa 😂😂😂😂😂
Usinikiss hadharani jau hiyo ujue....😂😂😂😂😂Mxiiiiiuuuu cheeefuuuuuu
Hahahaha we mbwa acha ukichaa wako hapa,,😂😂😂😂😂😂😂Usinikiss hadharani jau hiyo ujue....😂😂😂😂😂
Alafu uliniroga wewe yaani nikakuandikia na nyimbo kabisa kudadek zako wewe sasa hv uniambia mi chefuuu
Nilete uzi hapa kila mtu aone 😂😂😂😂😂Hahahaha we mbwa acha ukichaa wako hapa,,😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 Kijana mimi sijawahi shusha io mistari,usitafute pa kuponeaNilete uzi hapa kila mtu aone 😂😂😂😂😂
Daaah aiseee utoto ule wallah nilikua nimepagawa na nni sijui au nilikua nakula mjani mimi..😂😂😂😂😂
Mbona na wewe ulikua unashusha mistari kumbuka 😂😂🙌