Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,138
""Mbona unanitazamaππππππ Kijana mimi sijawahi shusha io mistari,usitafute pa kuponea
Kisha waza kulia, kama nimekukosea
Naomba unisamehe....."""
""Mbona unanitazamaππππππ Kijana mimi sijawahi shusha io mistari,usitafute pa kuponea
Hahahaha π π π π π π π π π π π aaaah""Mbona unanitazama
Kisha waza kulia, kama nimekukosea
Naomba unisamehe....."""
HawayangoiMeno bandia una maanisha nini? Ameyavalisha kwa juu? Meno yake yako Wapi halisi. Kayangβoa? Au Ndio hayo ila kaya shepu na ku bleach? Ushamba huu jmn nisaidie
Of course, I second you hiyo ni veneer...Labda ni ushamba wangu tu lakini kwa gigy hiyo ni veneer sio kusafisha meno.
Ndio nani huyo gigy money huko dar?!Ndugu zangu nataka kumjua Dentist wa Giggy Money.
Nataka kuyafanya meno yangu kuwa meupe nimejaribu kila njia imeshindikana.
Kuna dentist niliwapigia wakasema wao hawana mashine ya kusafisha meno kuwa meupe Ila wana dawa unatumia. Nilisha tumia nyingi in vain nikaona sio kweli.
Kama kuna mtu yoyote ana connection na dentist wa Giggy Money au dentist yoyote Yule anae safisha meno na kuwa meupe ya kun'gaa.
Location Dar Es Salaam.
ππππ
Nitawapigia nijue gharama zao0756 257321-empire dental clinic
Wako moroco jirani na airtel
Ova
Hii ya kukwangua siku ya bandia yakiondoka na huna hela sijui itakuaje?bora kubandika bila kukwanguaHawayangoi
kuna namna mbili
Ya kwanza ni wanabandika gamba juu ya meno yako halisi, ila itafanya meno yako yaonekane makubwa
View attachment 3403650
Ya pili ni wanakwangua meno yako halisi ili pawe na nafasi ya kupachika meno bandia (picha chini inaonesha meno yaliyokwanguliwa kwaajili ya kuandaa kuweka Veneers)
Ila ndo hivyo wanakwangua meno halisi kwenye njia ya pili
View attachment 3403651