Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Last edited by a moderator:
Hawa wataalam wetu watatuua jamani, yaani walileta bila kujua athari zake za muda mrefu?
kwa hiyo bora ipi?
Afu hawa mbu wa dengue sio wale walikuwa wanafugwa Muhimbili kwa majaribio? Bora Malaria yetu tumezoeana, tunataniana na kucheka pamoja.
.......Ssssshhhh!, mbona mnataja siri za sirikali banaaa?
Wenyewe #Watafiti walijifanya kuja na plan A tu, sie #Mbu tunazo mpaka Z.
......halafu hebu taratibuni banaaa, mtamaliza mipapai kwa kukata majani yake,.....hivi mnadhani ule mti utapumuaje?
#MosKwito !
Hahahahahahahah
Mbu siku yako ipo tuna mpango wa kuwakusanya wote popote mlipo tuwarudishe maabara maana huku mtaani mmezidi sasa mara dengue mara malaria mara busha mara matende ahhh Nicas Mtei salama mkuu na Eiyer pole kwa kuugua mkuu naamini unaendelea vyema
.....hahhhahh! ....mkuu ukizitafakari faida za #Mbu katika maisha ya kila siku utakubali tu acha tuzaliane kwa wingi.
By the way, si umeona ushuhuda wa Nicas Mtei hapo juu ya huo utafiti "fyongo?".....eti mbu wa dengue waje wawaangamize mbu wa Malaria....kha? hii ni GENOCIDE bana, dhambi hii ya "Ethnic Cleansing" itaendelea kuwatafuna.
Mbu siku yako ipo tuna mpango wa kuwakusanya wote popote mlipo tuwarudishe maabara maana huku mtaani mmezidi sasa mara dengue mara malaria mara busha mara matende ahhh Nicas Mtei salama mkuu na Eiyer pole kwa kuugua mkuu naamini unaendelea vyema
hehehe, utatukoma. mosquito repellents nimeweka kila mahali, jikoni, sebleni, chumbani, chooni! vimini kwa kwenda mberrrreeee, malaria haikututisha seuze dengue. na panadol tunatembea nazo
Kaning'ata mkono ndo nikawa namshangaa kushtuka nikamfukuza,..
View attachment 158819
......mpaka kieleweke.
Cc Eiyer, King'asti, Rock City, Nicas Mtei, Kongosho,....et al....
Nasema hiviii, sijali Mahusiano, Mapenzi wala Urafiki..,,mtamaliza mipapai yote sasa!
#MosKwito !