Popote Penye ugonjwa wa Dengue hapatakuwa na Malaria. Mbu ambao wanaoambukiza dengue ndio mbu wanaowala na kuwamaliza mbu wanaoambukiza malaria. . Nchi nyingi zenye maambukizi ya dengue hazina malaria. ..
Afu hawa mbu wa dengue sio wale walikuwa wanafugwa Muhimbili kwa majaribio? Bora Malaria yetu tumezoeana, tunataniana na kucheka pamoja.
u Mbu nina hasira na wewe ujue? Kila nikiwaza vijana wako shule nakosa raha. Repellant zenyewe nanunua bure, hawatumii au wanarudi wamepoteza.
kwa hiyo bora ipi?Popote Penye ugonjwa wa Dengue hapatakuwa na Malaria. Mbu ambao wanaoambukiza dengue ndio mbu wanaowala na kuwamaliza mbu wanaoambukiza malaria. . Nchi nyingi zenye maambukizi ya dengue hazina malaria. ..
Ndio wale wale walioletwa ili wawateketeze mbu wa malaria waliokua wengi sana maeneo ya Muhimbili. Inasemekana kuwa wapo wagonjwa wengi ambao wameumwa dengue lakini wamepata matibabu ya malaria jambo ambalo limesababisha vifo vingi. ..
Afu hawa mbu wa dengue sio wale walikuwa wanafugwa Muhimbili kwa majaribio? Bora Malaria yetu tumezoeana, tunataniana na kucheka pamoja.
Ndio wale wale walioletwa ili wawateketeze mbu wa malaria waliokua wengi sana maeneo ya Muhimbili. Inasemekana kuwa wapo wagonjwa wengi ambao wameumwa dengue lakini wamepata matibabu ya malaria jambo ambalo limesababisha vifo vingi. ..
.......Ssssshhhh!, mbona mnataja siri za sirikali banaaa?
Wenyewe #Watafiti walijifanya kuja na plan A tu, sie #Mbu tunazo mpaka Z.
......halafu hebu taratibuni banaaa, mtamaliza mipapai kwa kukata majani yake,.....hivi mnadhani ule mti utapumuaje?
#MosKwito !