Dengue Mchana usiku Malaria

Dengue Mchana usiku Malaria

Mbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2007
Posts
12,752
Reaction score
7,881
ImageUploadedByJamiiForums1400227933.279256.jpg

Sasa ni mabaibui na madera tu, mkivaa mini skirt, sijui tights sisi na wewe.


#MosKwito !
 
Kuvaa nguo ndefu, nitaanzaje mie labda suruali
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu badilisha jina na avatar yako basi !!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Popote Penye ugonjwa wa Dengue hapatakuwa na Malaria. Mbu ambao wanaoambukiza dengue ndio mbu wanaowala na kuwamaliza mbu wanaoambukiza malaria. . Nchi nyingi zenye maambukizi ya dengue hazina malaria. ..
 
u Mbu nina hasira na wewe ujue? Kila nikiwaza vijana wako shule nakosa raha. Repellant zenyewe nanunua bure, hawatumii au wanarudi wamepoteza.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Afu hawa mbu wa dengue sio wale walikuwa wanafugwa Muhimbili kwa majaribio? Bora Malaria yetu tumezoeana, tunataniana na kucheka pamoja.

Popote Penye ugonjwa wa Dengue hapatakuwa na Malaria. Mbu ambao wanaoambukiza dengue ndio mbu wanaowala na kuwamaliza mbu wanaoambukiza malaria. . Nchi nyingi zenye maambukizi ya dengue hazina malaria. ..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Afu hawa mbu wa dengue sio wale walikuwa wanafugwa Muhimbili kwa majaribio? Bora Malaria yetu tumezoeana, tunataniana na kucheka pamoja.

Ndio wale wale walioletwa ili wawateketeze mbu wa malaria waliokua wengi sana maeneo ya Muhimbili. Inasemekana kuwa wapo wagonjwa wengi ambao wameumwa dengue lakini wamepata matibabu ya malaria jambo ambalo limesababisha vifo vingi. ..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
u Mbu nina hasira na wewe ujue? Kila nikiwaza vijana wako shule nakosa raha. Repellant zenyewe nanunua bure, hawatumii au wanarudi wamepoteza.

.....#mtajiju ! ....ni mwendo wa ari mpya, nguvu mpya, na kasi mpya.
Pesa za miradi mmekula, mkitumia DDT majanga,......

Hapa ni Malaria, ukipona Dengue, ukiepa na hilo Matende na mabusha,
....ukinusurika homa ya manjano #mpakaKieleweke !

Vumilieni tu!


#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
Popote Penye ugonjwa wa Dengue hapatakuwa na Malaria. Mbu ambao wanaoambukiza dengue ndio mbu wanaowala na kuwamaliza mbu wanaoambukiza malaria. . Nchi nyingi zenye maambukizi ya dengue hazina malaria. ..
kwa hiyo bora ipi?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hawa wataalam wetu watatuua jamani, yaani walileta bila kujua athari zake za muda mrefu?

Ndio wale wale walioletwa ili wawateketeze mbu wa malaria waliokua wengi sana maeneo ya Muhimbili. Inasemekana kuwa wapo wagonjwa wengi ambao wameumwa dengue lakini wamepata matibabu ya malaria jambo ambalo limesababisha vifo vingi. ..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Afu hawa mbu wa dengue sio wale walikuwa wanafugwa Muhimbili kwa majaribio? Bora Malaria yetu tumezoeana, tunataniana na kucheka pamoja.
Ndio wale wale walioletwa ili wawateketeze mbu wa malaria waliokua wengi sana maeneo ya Muhimbili. Inasemekana kuwa wapo wagonjwa wengi ambao wameumwa dengue lakini wamepata matibabu ya malaria jambo ambalo limesababisha vifo vingi. ..

.......Ssssshhhh!, mbona mnataja siri za sirikali banaaa?
Wenyewe #Watafiti walijifanya kuja na plan A tu, sie #Mbu tunazo mpaka Z.

......halafu hebu taratibuni banaaa, mtamaliza mipapai kwa kukata majani yake,.....hivi mnadhani ule mti utapumuaje?


#MosKwito !
 
Back
Top Bottom