Demokrasia ya CCM Bara katika picha

Demokrasia ya CCM Bara katika picha

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
1592622533168.png
 
Hii sio CCM pekee hata nchi mnzoita zimeendelea na ulimwengu wa kwanza wana utamamduni huo, kipindi G. Bush, Clinton, Obama wanagombea awamu ya pili wakiwa madarakani hawakupingwa ndani ya chama. Hata kichaa Trump safari hii hajapingwa kwani tayar ni mgombea pekee wa republican. Wakat Democrat wakiwa kwenye maoni wao wanamgombea wao.

Hii ina maana gani, ni kuwa kama ninyi mnampinga ndani ya chama, wananchi wanamwamini vipi?

Hata Zanzibar Dr. Shein hakupingwa mwaka 2015 alichukua fomu pekee.

Mengine ni uzushi tu na wivu wa kike.
 
Hatari sana, wanaogopa hata kuchukua form...kila mmoja anahofu kwa bahati mbaya akija kuukosa urais na Magufuli akapita basi atakiona.

Unajaribu kushindana na yesu?
 
Hii sio CCM pekee hata nchi mnzoita zimeendelea na ulimwengu wa kwanza wana utamamduni huo, kipindi G. Bush, Clinton, Obama wanagombea awamu ya pili wakiwa madarakani hawakupingwa ndani ya chama. Hata kichaa Trump safari hii hajapingwa kwani tayar ni mgombea pekee wa republican. Wakat Democrat wakiwa kwenye maoni wao wanamgombea wao.

Hii ina maana gani, ni kuwa kama ninyi mnampinga ndani ya chama, wananchi wanamwamini vipi?

Hata Zanzibar Dr. Shein hakupingwa mwaka 2015 alichukua fomu pekee.

Mengine ni uzushi tu na wivu wa kike.
Unaweza ukawa sawa, lkn USA hakuna kitisho cha kuchukua fomu. Unaweza ukachukua usiungwe mkono, Jaribu hapa uone kama hukufukuzwa uanachama kama membe!
 
Hii sio CCM pekee hata nchi mnzoita zimeendelea na ulimwengu wa kwanza wana utamamduni huo, kipindi G. Bush, Clinton, Obama wanagombea awamu ya pili wakiwa madarakani hawakupingwa ndani ya chama. Hata kichaa Trump safari hii hajapingwa kwani tayar ni mgombea pekee wa republican. Wakat Democrat wakiwa kwenye maoni wao wanamgombea wao.

Hii ina maana gani, ni kuwa kama ninyi mnampinga ndani ya chama, wananchi wanamwamini vipi?

Hata Zanzibar Dr. Shein hakupingwa mwaka 2015 alichukua fomu pekee.

Mengine ni uzushi tu na wivu wa kike.
Kuna binadamu humu wanamchukia mzee baba Kama nyoka!..
Wanataka demokrasia zile za marekani mpk wananchi wanaacha makalio wazi kumtukana rais wao!.. kuna yule mmama alimtumiaga trump mpk nywele za sehemu ya siri!!..
Kuna na mwengine aliuonyeshea dole msafara wa trump!.. muajili wake alimfukuza kazi sasa ingekuwa hapa bongo lingesemwa mpk Basi!!

Ambacho hawakioni ni hiki wewe unachukua fomu unaenda kushindana na mtu ambae amekaa kwenye hicho cheo kwa miaka 5 na kuna mambo mengi tu kayafanya!.. Mi nachojua chama kinauwezo wa kumtoa mgombea yoyote yule wakitaka na wanaweza kumuweka yoyote pia!!
Vitu vyengine ni kuepusha jau tu..

Tanzania kuna upinzani na hiyo ndio kazi yao.. Kuna swali alishawahi kuhojiwa lisu kuwa mema gani rais alishawahi yafanya katafute alivyojibu hapo ndo utajua maana ya upinzani hawawezi kuona hata kitu kimoja hawawezi kabisa..

Na hapa yatakuja kuandika kachukue buku saba yako!😂
Wakati hata mlango wa kupigia kura siujui..!
 
Hii sio CCM pekee hata nchi mnzoita zimeendelea na ulimwengu wa kwanza wana utamamduni huo, kipindi G. Bush, Clinton, Obama wanagombea awamu ya pili wakiwa madarakani hawakupingwa ndani ya chama. Hata kichaa Trump safari hii hajapingwa kwani tayar ni mgombea pekee wa republican. Wakat Democrat wakiwa kwenye maoni wao wanamgombea wao.

Hii ina maana gani, ni kuwa kama ninyi mnampinga ndani ya chama, wananchi wanamwamini vipi?

Hata Zanzibar Dr. Shein hakupingwa mwaka 2015 alichukua fomu pekee.

Mengine ni uzushi tu na wivu wa kike.
Ila natamani@ sky ekilati angejaribu bahati yake. Siyo analalama tu hapa.
 
Unaweza ukawa sawa, lkn USA hakuna kitisho cha kuchukua fomu. Unaweza ukachukua usiungwe mkono, Jaribu hapa uone kama hukufukuzwa uanachama kama membe!
Kwa kuwa ni kinyume cha utamaduni wa CCM na unataka kumdhoofisha mgombea wao. Lazima ufukuzwe kwa utovu wa utamamduni
 
Ndo siasa zetu zilivyo ni kama 2015 Edlow alivyopita bila kupingwa Chadema.
 
Historia ya Chama cha Mapinduzi.. inajieleza.
Hata muwandike nini.. 2020 imeshawakimbia.. Jembe na mpendwa wa wananchi.. ataendelea kama kawaida. Musubiri huko mbeleni.. JPM anapiga miaka yake mikumi kama waliontangulia.🔥🔥🔥

Mujaribu lingine.. 😀😀😀
 
Kwa kuwa ni kinyume cha utamaduni wa CCM na unataka kumdhoofisha mgombea wao. Lazima ufukuzwe kwa utovu wa utamamduni
demokrasi does not dictate that? unamdhoofisha kwa vipi while this is internal uchaguzi? mnadhoofdhana ndani kwa ndani haina shida
 
demokrasi does not dictate that? unamdhoofisha kwa vipi while this is internal uchaguzi? mnadhoofdhana ndani kwa ndani haina shida
Kwa akili yako na mtizamo wako, lakin wao ndio utaratibu wa ndani waliojiwekea
 
Kuna binadamu humu wanamchukia mzee baba Kama nyoka!..
Wanataka demokrasia zile za marekani mpk wananchi wanaacha makalio wazi kumtukana rais wao!.. kuna yule mmama alimtumiaga trump mpk nywele za sehemu ya siri!!..
Kuna na mwengine aliuonyeshea dole msafara wa trump!.. muajili wake alimfukuza kazi sasa ingekuwa hapa bongo lingesemwa mpk Basi!!

Ambacho hawakioni ni hiki wewe unachukua fomu unaenda kushindana na mtu ambae amekaa kwenye hicho cheo kwa miaka 5 na kuna mambo mengi tu kayafanya!.. Mi nachojua chama kinauwezo wa kumtoa mgombea yoyote yule wakitaka na wanaweza kumuweka yoyote pia!!
Vitu vyengine ni kuepusha jau tu..

Tanzania kuna upinzani na hiyo ndio kazi yao.. Kuna swali alishawahi kuhojiwa lisu kuwa mema gani rais alishawahi yafanya katafute alivyojibu hapo ndo utajua maana ya upinzani hawawezi kuona hata kitu kimoja hawawezi kabisa..

Na hapa yatakuja kuandika kachukue buku saba yako!😂
Wakati hata mlango wa kupigia kura siujui..!
Kuna wamarekani wangapi walio fungwa, tekwa, pigwa risasi, potea, bambikiwa kesi, ........kwasababu ya kutofautiana na Trump?.
 
Back
Top Bottom