kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,251
- 13,257
Ahahahaaaa hapo mtu ambae angechukua hata kabla ya jiwe alikuwa Membe tu,ndio mana jamaa akaogopa,hao wengine wote wana roho ya kunguru
Ahahahaaaa hapo mtu ambae angechukua hata kabla ya jiwe alikuwa Membe tu,ndio mana jamaa akaogopa,hao wengine wote wana roho ya kunguru
Yesu wa kijani?Hatari sana, wanaogopa hata kuchukua form...kila mmoja anahofu kwa bahati mbaya akija kuukosa urais na Magufuli akapita basi atakiona.
Unajaribu kushindana na yesu?