Democrasia iliopo Kenya hasa uhuru wa habari sio wa levo hizi za Africa ni beyond Africa labda Ulaya huko nako pia nina wasiwasi.

Democrasia iliopo Kenya hasa uhuru wa habari sio wa levo hizi za Africa ni beyond Africa labda Ulaya huko nako pia nina wasiwasi.

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,487
Reaction score
14,064
Democrasia iliopo Kenya sisi hata robo yake hatutarajii kuifikia , kwa kizazi hiki cha kipumbavu.
Screenshot_20250430_154039_com.facebook.katana.jpg


Jamaa wako mbali sana kwenye uhuru.
Screenshot_20250430_155130_com.android.gallery3d.jpg


Angalia hii habari na piga picha ndio Bongo hii.
Screenshot_20250430_155137_com.android.gallery3d.jpg


Hii je?

Kenya uhuru wa Habari ni beyond, Tanzania kuna wajinga wanadanganywa kwamba kuna uhuru wa Habari sijui umeimarishwa

Hata humu Jf still bado sana,

Kenya hata matamko ya Maaskofu wa Kenya huwa ni Black and white hayapakwi rangi yaani ni matamko ya Black and white colour hakuna kuzunguka Mbuyu.

Tukomae na mijadala ya Yanga na Simba hizi ndio urithi pekee tunao enda kuachiwa. Nyerere alituachia Utajiri wa Mali asili, ila now kwa sababu ya ujinga wetu tunaenda kuachiwa urithi wa Yanga na Simba huku wajanja wakijimilikisha nchi.
 
Democrasia iliopo Kenya sisi hata robo yake hatutarajii kuifikia , kwa kizazi hiki cha kipumbavu.
View attachment 3320669

Jamaa wako mbali sana kwenye uhuru.
View attachment 3320677

Angalia hii habari na piga picha ndio Bongo hii.
View attachment 3320678

Hii je?

Kenya uhuru wa Habari ni beyond, Tanzania kuna wajinga wanadanganywa kwamba kuna uhuru wa Habari sijui umeimarishwa

Hata humu Jf still bado sana,

Kenya hata matamko ya Maaskofu wa Kenya huwa ni Black and white hayapakwi rangi yaani ni matamko ya Black and white colour hakuna kuzunguka Mbuyu.

Tukomae na mijadala ya Yanga na Simba hizi ndio urithi pekee tunao enda kuachiwa. Nyerere alituachia Utajiri wa Mali asili, ila now kwa sababu ya ujinga wetu tunaenda kuachiwa urithi wa Yanga na Simba huku wajanja wakijimilikisha nchi.
hiyo demokrasia na uhuru wa habari vimewasaidi nini wa Kenya mbona kila leo watu wanauawa, wanazikwa na kusahaulika? :NoGodNo:
 
Tatizo ni Elimu duni, na huo ndio mtaji mkubwa ccm wanaojivunia miaka nenda rudi!.
Wananchi wengi wangekuwa wanajielewa ccm haikuwa na ubora kututawala miaka yote hiyo...yaani hata kwa wizi wa kura isingewezekana!!.
Kwa Tanzania 90% walisoma ni wapumbavu kuliko wasio soma mkuu, mtu anakaririshwa mpk level ya masters unategemea nini?
 
Democrasia iliopo Kenya sisi hata robo yake hatutarajii kuifikia , kwa kizazi hiki cha kipumbavu.
View attachment 3320669

Jamaa wako mbali sana kwenye uhuru.
View attachment 3320677

Angalia hii habari na piga picha ndio Bongo hii.
View attachment 3320678

Hii je?

Kenya uhuru wa Habari ni beyond, Tanzania kuna wajinga wanadanganywa kwamba kuna uhuru wa Habari sijui umeimarishwa

Hata humu Jf still bado sana,

Kenya hata matamko ya Maaskofu wa Kenya huwa ni Black and white hayapakwi rangi yaani ni matamko ya Black and white colour hakuna kuzunguka Mbuyu.

Tukomae na mijadala ya Yanga na Simba hizi ndio urithi pekee tunao enda kuachiwa. Nyerere alituachia Utajiri wa Mali asili, ila now kwa sababu ya ujinga wetu tunaenda kuachiwa urithi wa Yanga na Simba huku wajanja wakijimilikisha nchi.
Sawa keyboard warrior.
 
Miezi miwili tu ya December 2007 na January 2008 ndio iliweza kubadili kila kitu kilichokuwepo Kenya Tangu uhuru wao 1963 , ilianza kama mzaha kutokana na kiburi cha watalawa ila baada ya hapo nchi ilizaliwa upya Kenya mihimili 3 ipo kweli.

Tanzania ya sasa inaishi maisha waliyoishi wakenya 1982-2002 ilikuwa ni ya mateso makubwa.

Naamini kuna siku watanganyika nao wataamka na kuwashangaza watawala kwa kuyarudisha mamlaka ya nchi mikononi mwa wanananchi maana wananchi ndio wana mamlaka na hii hata katiba yao mpya ya 2010 ukurasa wa kwanza tu wameliandika hilo.
 
Miezi miwili tu ya December 2007 na January 2008 ndio iliweza kubadili kila kitu kilichokuwepo Kenya Tangu uhuru wao 1963 , ilianza kama mzaha kutokana na kiburi cha watalawa ila baada ya hapo nchi ilizaliwa upya Kenya mihimili 3 ipo kweli.

Tanzania ya sasa inaishi maisha waliyoishi wakenya 1982-2002 ilikuwa ni ya mateso makubwa.

Naamini kuna siku watanganyika nao wataamka na kuwashangaza watawala kwa kuyarudisha mamlaka ya nchi mikononi mwa wanananchi maana wananchi ndio wana mamlaka na hii hata katiba yao mpya ya 2010 ukurasa wa kwanza tu wameliandika hilo.
Still hata wakati huo wakenya walikuwa wameamka sana, Watanzania urithi wetu ni Yanga na Simba kwa sasa basi
 
Tatizo ni Elimu duni, na huo ndio mtaji mkubwa ccm wanaojivunia miaka nenda rudi!.
Wananchi wengi wangekuwa wanajielewa ccm haikuwa na ubora kututawala miaka yote hiyo...yaani hata kwa wizi wa kura isingewezekana!!.
Elimu Duni ipi? nchi imejaa wapumbavu hadi Ma Proffesor
 
Tatizo ni Elimu duni, na huo ndio mtaji mkubwa ccm wanaojivunia miaka nenda rudi!.
Wananchi wengi wangekuwa wanajielewa ccm haikuwa na ubora kututawala miaka yote hiyo...yaani hata kwa wizi wa kura isingewezekana!!.
kujielewa kupi? kwa sasa ukenda hadi Vyuoni huko Mada zao ni Yanga na Simba
 
Democrasia iliopo Kenya sisi hata robo yake hatutarajii kuifikia , kwa kizazi hiki cha kipumbavu.
View attachment 3320669

Jamaa wako mbali sana kwenye uhuru.
View attachment 3320677

Angalia hii habari na piga picha ndio Bongo hii.
View attachment 3320678

Hii je?

Kenya uhuru wa Habari ni beyond, Tanzania kuna wajinga wanadanganywa kwamba kuna uhuru wa Habari sijui umeimarishwa

Hata humu Jf still bado sana,

Kenya hata matamko ya Maaskofu wa Kenya huwa ni Black and white hayapakwi rangi yaani ni matamko ya Black and white colour hakuna kuzunguka Mbuyu.

Tukomae na mijadala ya Yanga na Simba hizi ndio urithi pekee tunao enda kuachiwa. Nyerere alituachia Utajiri wa Mali asili, ila now kwa sababu ya ujinga wetu tunaenda kuachiwa urithi wa Yanga na Simba huku wajanja wakijimilikisha nchi.
100 asilimia nakubaliana na wewe.nimesoma huko miaka mi4 ukwel gazeti ilikua lazma ninunue au nisome daily.taarifa ya habari kenya hutaki ikupite.
 
Still hata wakati huo wakenya walikuwa wameamka sana, Watanzania urithi wetu ni Yanga na Simba kwa sasa basi
Bahati nzuri wakati hilo sekeseke linatokea nilikuwepo Nairobi kikazi hiyo December sikutegemea yaliyotokea maana kama rais aliona ana uwezo wa kuiamrisha tume na kumuita jaji kumuapisha garden ya ikulu tena jioni mbele ya mashahidi wa chache masaa machache yaliyofuata nchi ilikua kwenye moto.

Pia hata wakenya wa rika la uzee hawakuwahi kutegemea walichofanya kundi la Gen Z - 2024 kwa kuingia bungeni na kuchoma bunge hivyo haya yote huletwa na viburi vya watawala na watu wakichoka hawarudi nyuma Ruto aligoma kuondoa kodi kandamizi na mshauri wake wa kiuchumi aliwaita waandamanaji "digital wankers" kama ambavyo CCM huwaita wapinzani "keyboars warriors" ila siku ilipofika hawakuamini macho yao.
 
Back
Top Bottom