Demisexual wanateseka sana

Demisexual wanateseka sana

Hapa sasa umenifungua macho kuna kitu nilimiss kukielewa, exactly siwezi sex na mtu kama sijatengeneza nae bond hata kama ni kwa muda mfupi lakini zaidi nafall deeper kwa mtu ambaye ana uwezo mkubwa wa akili, mtu anayeweza kuchambua mambo, mtu ambaye anaangalia vitu kwa uchanya (positivity),


So i'm Ambivert, Homosexual, Sapiosexual and Demisexual, hehehehe patamu hapoooooo
Na mie nimo humo babeeeh,
 
Watu wengi sio observant mnajali tu utamu wa sex baaasiiii. Ila kwa mtu observant na mwenye Low latent Inhibition kama mimi hivyo vitu ni muhimu sana kuvichunguza. Inakua tamu zaidi ukimpenda mtu uliyemchunguza Soul,Mind na physical...
Ila ukiwa driven na sex hutaona umuhimu wake

Jitahidi uwe LLI ndio maana mengi yanawapita duniaani😆
Mapenzi ni zaidi ya kufanyiana multiple orgasms
And I wasn't even referring to sex.
Well, by loving a person i will get to know all of those.
Might not be that analytical like you are doing but I know my partners and their kinds.

Ninachokataa ni swala la kuanza kumsoma mtu, kumchanbua, nijue ni hivi ji vile ni huyu ni yule ni pale ni juu.
Sijui personality this personality thaaaat.

Haya sasa amekuja na LLI nini sijui hiyo.

Aseeeeeh.
I did my studies nikamaliza, nikafunga vitabu.
I won't turn my partners to some specimen kuverify theories walizosoma watu tu na kuzigroup like unachofanya.

Mpk nampenda tayari nina bond nae nzuri tu na hii itanisaidia kumjua vya kunifaa, ili mambo yetu yawe na mutual feelings, tuwe ile yeees.
So bonding ndo kitu cha msingi sana sana to me.
Hizo makitu engine better stay kwenye vitabu asee.
Kwenye maisha halisi, hapana endelea tu kwa kweli.
Sitaki kabisa.
Saaa ngapi nitainjoi the unexpected?

Hapana aiseeeh.
I'm too old for that.
 
I apologise for getting you wrong mate...ila nazidi kuthibisha kwamba knowledge is Curse

Soma zaidi hapo kuhusu LLI

Kama kawaida mzee wa kutiririka😆
Kuna vitu wanaita one night stand na love at first sight...
Ukitwngeneza nae bond ujue umeshamsoma na umeona traits alizonazo zinakufaa either direct or indirectly, Nachozungumzia ni swala la watu kutokungoja kutengeneza bond na mtu yaani mmekutana bar mnamalizana hukohuko au kesho yake.
Kikubwa waafrika sio observant sio tu kwenye mahusiano ila mambo mengi tu tunajali Quantity kuliko Quality yakitu. Kwa wenzetu swala la kumfahamu mwenzio his inner part ni muhimu sana
One stand , nah for me.
Sex to me is more of beyond flesh nafkr.
So nitajitahidi kufahamu mtu vya kunitosha kufika hiyo beyond flesh.
But still, hata nikikujua na nikakuta mambo meusi meusi baadae, story inaishia hapo hapo and I'm gud.

Am I selfish?
Mana huchelewi kuanza kunianalyse wewe.
Mxxxxie
 
One stand , nah for me.
Sex to me is more of beyond flesh nafkr.
So nitajitahidi kufahamu mtu vya kunitosha kufika hiyo beyond flesh.
But still, hata nikikujua na nikakuta mambo meusi meusi baadae, story inaishia hapo hapo and I'm gud.
Splendid.
Ukijipatia kamtu kako wewe kapende tu uwezavyo maana unaweza jikuta unatumia muda mwingi kumchunguza mtu kuliko kuinjoi raha za dunia🤔
Am I selfish?
Mana huchelewi kuanza kunianalyse wewe.
Mxxxxie
Nakuchambua ndio though najua ni kupiga deki bahari maana haita saidia lolote upande wangu😆
 
Parental Guide: 18+
Explicit Content.

View attachment 1835893
Mates;
Thanks for the one of interested Topic.
I appreciate your work.

Actually love is problematic kwa duniani ya sasa. Sisi kama binadamu tumesahau maana halisi ya upendo. Mwenyezi Mungu amemuumba mwanadamu iliapende na sio kupendwa.
But now days tunafocus sana kwenye kupendwa kuliko kupenda. Kila mtu anaweka hisia zake mbele na sio za mwenzake na hapa ndipo chanzo cha matatizo yote.

Mathayo 22:37-40 “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote’ na ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe’.
 
I smelled it..
Wewe ni Demisexual sema unaweza kua character kadhaa za Sapio. Sijajua mchanganyiko wa sapio na demi unaitwaje.
Binafsi mtu akiwa Intelligent (obvious inteligent peoples are postive) halafu akiwa Kind nakufa kabisaa.


Hatari bado ukute wewe ni Assertive pia ni Stoic

Asa we unatakaje mwanamke awe intelligent kupta ww
 
Thanks for the one of interested Topic.
I appreciate your work.

Actually love is problematic kwa duniani ya sasa. Sisi kama binadamu tumesahau maana halisi ya upendo. Mwenyezi Mungu amemuumba mwanadamu iliapende na sio kupendwa.
Yeaah surely, ukipenda na mwingine akakupenda as how it supposed basi kunakua na strong bond ya mapendo
But nowdays tunafocus sana kwenye kupendwa kuliko kupenda. Kila mtu anaweka hisia zake mbele na sio za mwenzake na hapa ndipo chanzo cha matatizo yote.
Kila mtu anataka apendwe kuliko kupenda nadhani Capitalism imeingilia hadi upande wa Hisia.
Mathayo 22:37-40 “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote’ na ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe’.
🙏 Thanks for appreciation mate
 
Hakuna haja ya kuteseka. Tafuta demisexual mwenzako tu muyajenge.
Noma sana mkuu things are pretty miserable out here. Demisexual personel huteseka san kama mwenza wake asipomfahamu vizur. Wengine wanaweza kutake advantage juu ya hali yako jiyo kukuControl mapenzini
 
Yeaah surely, ukipenda na mwingine akakupenda as how it supposed basi kunakua na strong bond ya mapendo

Kila mtu anataka apendwe kuliko kupenda nadhani Capitalism imeingilia hadi upande wa Hisia.

🙏 Thanks for appreciation mate
Hakuna mtu anayezaliwa na moyo wa chuma (Iron Heart), au steel backbone kana kwamba hasifeel maumivu per day.

Upendo si Upendo tena, mwanadamu anaona bora aishi na domesticated animal (paka na mbwa) ndani ya nyumba kuliko kuishi na mwanadamu mwenzake. Watu ambao wanaemotional personality (DEMISEXUAL) wanaexperience alot of difficulties kwenye mahusiano ndani ya modern world ambapo watu wanapenda sana materials world na kusahau humility (Ubinadamu). Sisi sote ni mashahidi bila pesa kwenye modern world utambulia maumivu kwanzia kwenye mahusiano mpaka kwenye ngazi ya familia. Kwa maana asiyenacho hathaminiki, Even though tumeumbwa hili tupende na kuform very a strong communion of love, to love life, to be life, and to be love.

Best regards
Da'Vinci
 
Hakuna mtu anayezaliwa na moyo wa chuma (Iron Heart), au steel backbone kana kwamba hasifeel maumivu per day.
Sure thing, hasa kwa yule uliyempenda kwa dhati toka moyoni with any doubt of feelings
Upendo si Upendo tena, mwanadamu anaona bora aishi na domesticated animal (paka na mbwa) ndani ya nyumba kuliko kuishi na mwanadamu mwenzake. Watu ambao wanaemotional personality (DEMISEXUAL) wanaexperience alot of difficulties kwenye mahusiano ndani ya modern world ambapo watu wanapenda sana materials world na kusahau humility (Ubinadamu). Sisi sote ni mashahidi bila pesa kwenye modern world utambulia maumivu kwanzia kwenye mahusiano mpaka kwenye ngazi ya familia. Kwa maana asiyenacho hathaminiki, Even though tumeumbwa hili tupende na kuform very a strong communion of love, to love life, to be life, and to be love.

Best regards
Da'Vinci
Life circle is not that promising mate, we (demis) we expect the unexpected.
Je Mwanadamu afanyaje kurejesha upendo usio na shaka kwa wanadamu wenzake bila kuangalia materials
 
Sure thing, hasa kwa yule uliyempenda kwa dhati toka moyoni with any doubt of feelings

Life circle is not that promising mate, we (demis) we expect the unexpected.
Je Mwanadamu afanyaje kurejesha upendo usio na shaka kwa wanadamu wenzake bila kuangalia materials
Hili kuweza kurudisha upendo na amani ya moyoni. Inatupasa kutumia muda mwingi kuishi na watu watupendao unconditionally rather than who love us with a certain conditions.
Spend your time with those who love you unconditionally, not with those who only love you under certain conditions.”
 
In default mode mwanadamu yoyote Yule ameumbwa anahitaji kupenda au kupendwa, hata ufanyaje huwezi kukwepa huu mtego coz it’s a law of nature and you can’t escape a law of mother nature because nature always find its way and always win.Upendo ndio msingi wa maisha ya mwanadamu, ktika kupenda au kupendwa kumebadilisha maisha ya watu wengi waliokua waovu,watukutu na makatili..mtu yoyote Yule aliye katili hua ukimpatia upendo basi utaweza kumbadirisha kuwa mtu mwema.

Hata mtu awe gaidi kivipi au katili kiasi gani kunakuaga yupo mtu mmoja au zaidi ambao anawapenda na kuwajali, kwasababu ili maisha ya mtu mmoja mmoja yalete maana halisi ya kuitwa maisha lazima wawepo watu ambao anawajali na kuwapenda ndio maana ili uitwe mwanume kamili lazima uwe na familia ambayo unaipenda na kuihudumia… mwanaume kamili anajiona na kuuFeel uanaume wake pale anapoweza kuhudumia nakujali familia yake na ndugu zake. Why this? Its just because everyone need to belong to someone, everyone need to have someone who she/he care for
This explanation 👏👏
 
20210710_135245.png
 
Back
Top Bottom