Watu wengi sio observant mnajali tu utamu wa sex baaasiiii. Ila kwa mtu observant na mwenye Low latent Inhibition kama mimi hivyo vitu ni muhimu sana kuvichunguza. Inakua tamu zaidi ukimpenda mtu uliyemchunguza Soul,Mind na physical...
Ila ukiwa driven na sex hutaona umuhimu wake
Jitahidi uwe LLI ndio maana mengi yanawapita duniaani😆
Mapenzi ni zaidi ya kufanyiana multiple orgasms
And I wasn't even referring to sex.
Well, by loving a person i will get to know all of those.
Might not be that analytical like you are doing but I know my partners and their kinds.
Ninachokataa ni swala la kuanza kumsoma mtu, kumchanbua, nijue ni hivi ji vile ni huyu ni yule ni pale ni juu.
Sijui personality this personality thaaaat.
Haya sasa amekuja na LLI nini sijui hiyo.
Aseeeeeh.
I did my studies nikamaliza, nikafunga vitabu.
I won't turn my partners to some specimen kuverify theories walizosoma watu tu na kuzigroup like unachofanya.
Mpk nampenda tayari nina bond nae nzuri tu na hii itanisaidia kumjua vya kunifaa, ili mambo yetu yawe na mutual feelings, tuwe ile yeees.
So bonding ndo kitu cha msingi sana sana to me.
Hizo makitu engine better stay kwenye vitabu asee.
Kwenye maisha halisi, hapana endelea tu kwa kweli.
Sitaki kabisa.
Saaa ngapi nitainjoi the unexpected?
Hapana aiseeeh.
I'm too old for that.