Demisexual wanateseka sana

Demisexual wanateseka sana

Interesting!
Ngoja nifuatilie zaidi, naweza pata majibu ya maswali mengi niliyonayo.
 
Asanteeeee
In default mode mwanadamu yoyote Yule ameumbwa anahitaji kupenda au kupendwa, hata ufanyaje huwezi kukwepa huu mtego coz it’s a law of nature and you can’t escape a law of mother nature because nature always find its way and always win.Upendo ndio msingi wa maisha ya mwanadamu, ktika kupenda au kupendwa kumebadilisha maisha ya watu wengi waliokua waovu,watukutu na makatili..mtu yoyote Yule aliye katili hua ukimpatia upendo basi utaweza kumbadirisha kuwa mtu mwema.

Hata mtu awe gaidi kivipi au katili kiasi gani kunakuaga yupo mtu mmoja au zaidi ambao anawapenda na kuwajali, kwasababu ili maisha ya mtu mmoja mmoja yalete maana halisi ya kuitwa maisha lazima wawepo watu ambao anawajali na kuwapenda ndio maana ili uitwe mwanume kamili lazima uwe na familia ambayo unaipenda na kuihudumia… mwanaume kamili anajiona na kuuFeel uanaume wake pale anapoweza kuhudumia nakujali familia yake na ndugu zake. Why this? Its just because everyone need to belong to someone, everyone need to have someone who she/he care for
 
Situmii kilevi kiongozi, au unaweza mpatia aliye karibu nawe hapo badala yangu😆
Amen..ameipata.Mambo mengi tunajifunza kila siku unaweza kuta unapayuka hupewi mambo flani kumbe upo kwenye kundi gumu.
 
Noma sana mkuu things are pretty miserable out here. Demisexual personel huteseka san kama mwenza wake asipomfahamu vizur. Wengine wanaweza kutake advantage juu ya hali yako jiyo kukuControl mapenzini

Nina rafiki yangu demi !! Ninayoyapata i cant explain!!
 
Kuna mwingnie anaahid kukupa Good sex mwingne True Love
 
Nahisi zamani nilikua na sifa zote ulizozitaja ila baada ya kuexpirience digital sasa nimebadilika nimekuwa badass man with plastic heart(untold man)😎
 
Back
Top Bottom