Demisexual wanateseka sana

Demisexual wanateseka sana

Sidhani kama unaweza fikia hatua ya kudate na asexual asee maana hua hawapendi kabisa mahusiano wala sex mfano tesla,Newton, kuna rais wa marekani buchanan kama sijasahau mzee alikua hamaindishi kabisa wanawake(da vinci sio asexual maana mzee baba alikua omnisexual)

Sasa ikitokea ukaanguka kwake mkajikuta mpo Mapenzi nawe unapenda sex mbona utakoma😆 Trust me hauwezi dumu sana lazima muachane

Kikubwa msome inner traits za mtu kabla ya kuzama nae penzini unaweza muhisi mtu ni gay kumbe ni default setting yake ipo hivo.
Kabla ya kuanza mahusiano chunguza inner traits hizi...
Personality (extrovert or intro), behavioral model (Aggressive,Passive or assertive) Reaction toward materials (Stoic, Cynic or materials driven)
You muda wa kuanza kumfanyia mtu hizo analysis sina kwa kweli.

Vinatick vinatick
Havitick havitick.
 
Mi niache kupenda kwa raha zangu nianze kumtafiti mtu?
Wooooiiih
Watu wengi sio observant mnajali tu utamu wa sex baaasiiii. Ila kwa mtu observant na mwenye Low latent Inhibition kama mimi hivyo vitu ni muhimu sana kuvichunguza. Inakua tamu zaidi ukimpenda mtu uliyemchunguza Soul,Mind na physical...
Ila ukiwa driven na sex hutaona umuhimu wake
You muda wa kuanza kumfanyia mtu hizo analysis sina kwa kweli.

Vinatick vinatick
Havitick haviti
Jitahidi uwe LLI ndio maana mengi yanawapita duniaani😆.
 
I thought you're the one of them.
Nini maana ya sapiosexual..

Sure thing.
Mimi kuna traits fulani ninazo ndio zilifanya nijitafute nijifahamu...mada imekua inspired nami mwenyewe.
Kwakweli ni muhimu kumchunguza mwenzio traits zake kabla ya kuzama nae...Wewe upo too straight n Open lazima mada yako waile kichwa tu

Salute mate

Kwaiyo naww n demisexual!! Itabid nikuunge na demisexual mwenzio
 
Sasa itabidi unifundishe jinsi ya kuandika kwa code maana JF wameniamulia hadi mzuka wa kua humu unakata, daah!

Sapiosexual, a person who is sexually attracted to highly intelligent people, so much so that they consider it to be the most important trait in a partner,
Na hii kwangu sio kwa partner hata rafiki, ili mtu awe close to me hua nampima kwa uwezo wake wa akili tunajikuta tu tuna match mambo yanasonga.

Demisexual anavutiwa na mtu aliyetengeneza nae bond ya muda mrefu sasa kwa mimi nikikumbuka enzi za ujana najiona kabisa sipo kwenye udemisexual.

Aisee namm watu wapumbafu wapumbafu huwa siwapendagi !! Marafiki huwa nachagua marafiki intelligence au wanaofanya maajabu!!

Sema kuhandle mwanamke mwene akili sana n disaster kubwa unless umzidi mara 3 or two time hivi
 
Acha tu maana before sijazoea kuja huku jukwaa la mmu wengi walikua wanajua mimi wa kike ajili ya jina hadi pm wanakuja kabisa.
Ndio maana sijamshangaa huyo bwana

Na nilishakutongoza nilivo oona davinci kumbe ndo the vinci
Pole kwa mtongozo
 
Oh yes!
Safii, nimependa hiyo niko pooaa, sana.
Great.
Enhe so sisi demisexual tunatakiwa kufanyaje, ukute ndo umedate na asexual sasa.

Au ndo tuendelee tu kuteseka na vile hii dunia sio yetu?

Asexual anakuaje anajipenda mwenyewe au!!
 
Kufundisha sikujaliwa kipaji hicho😆
(Nami nifundishe jinsi ya kuAproach pisis)

Salute... Ujinga unaambukizwa lazima uchague aina ya akili za kua nawe karibu.

Mate technically wewe ni Demisexual, kwa sababu demi anatengeneza bond kwa mtu aliyempenda na kigezo kikubwa hua Intelligence ya huyo mtu. Labda tofauti ni kwamba sapio anafall kwa Mwanamke yoyote ambae ni Highly inteligent. Ila demi anafall kwa Mwanamke ambae ni inteligent ila wameshatengeneza bond
Hapa sasa umenifungua macho kuna kitu nilimiss kukielewa, exactly siwezi sex na mtu kama sijatengeneza nae bond hata kama ni kwa muda mfupi lakini zaidi nafall deeper kwa mtu ambaye ana uwezo mkubwa wa akili, mtu anayeweza kuchambua mambo, mtu ambaye anaangalia vitu kwa uchanya (positivity),

So i'm Ambivert, Homosexual, Sapiosexual and Demisexual, hehehehe patamu hapoooooo
 
Maisha ya Mwafrika bila kufanya mapenzi ni sio maisha.. Wazee tufanye mapenzi kabla hatujazeeka
 
Hapa sasa umenifungua macho kuna kitu nilimiss kukielewa, exactly siwezi sex na mtu kama sijatengeneza nae bond hata kama ni kwa muda mfupi lakini zaidi nafall deeper kwa mtu ambaye ana uwezo mkubwa wa akili, mtu anayeweza kuchambua mambo, mtu ambaye anaangalia vitu kwa uchanya (positivity)
I smelled it..
Wewe ni Demisexual sema unaweza kua character kadhaa za Sapio. Sijajua mchanganyiko wa sapio na demi unaitwaje.
Binafsi mtu akiwa Intelligent (obvious inteligent peoples are postive) halafu akiwa Kind nakufa kabisaa.

So i'm Ambivert, Homosexual, Sapiosexual and Demisexual, hehehehe patamu hapoooooo
Hatari bado ukute wewe ni Assertive pia ni Stoic 😆😆
 
Watu wametofautiana mate... Japo waafrika tunaipa kipaumbele ngono ila kwangu nadhani ni tofauti
Hatuipi kipaumbele sisi tuna testosterone nyingi sasa hizo ndio zinasababisha nyege.. Wazungu na watu wengine hawana hizo za kutosha.. Yani hii ni genetic na kufanya mapenzi hakuzuii mtu kufanya mambo mengine
 
Parental Guide: 18+
Explicit Content.

View attachment 1835893
Daaa! We mwamba tunalandana karibia kila kitu yani...

Kila ukileta mada za mlengo huu huwa nahisi najisoma, yani kama
umesoma mind yangu ndipo
ukaandaa maada.

Labda inawezekana tupo kwenye age range moja ndio maana changamoto unazoziona ndio hizo nazo kumbananazo huku.!

Kama tunachangia nafsi vile., (kuna siku niliwaza 🤔 ama binadamu kuna kitu tuna share ambacho kipo located outside our bodies ambapo kundi flani la watu wenye tabia za kufanana wanakua connected katika hicho kitu ambacho kipo specific kwa tabia hizo. Kwahiyo hivi vitu vipo tofauti tofauti kilingana na personalities, (kwa mfano kama server na computer)).

👆👆👆
Ipuuzieni hiyo, 👉🏾sayansi inatuambia ni traits generation to generation.

Mkuu shukrani kwa hili bandiko limeniweka sawa psychologically hususani katika mahusiano.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Daaa! We mwamba tunalandana karibia kila kitu yani...

Kila ukileta mada za mlengo huu huwa nahisi najisoma, yani kama
umesoma mind yangu ndipo
ukaandaa maada.
Labda inawezekana tupo kwenye age range moja ndio maana changamoto unazoziona ndio hizo nazo kumbananazo huku.!

Kama tunachangia nafsi vile., (kuna siku niliwaza 🤔 ama binadamu kuna kitu tuna share ambacho kipo located outside our bodies ambapo kundi flani la watu wenye tabia za kufanana wanakua connected katika hicho kitu ambacho kipo specific kwa tabia hizo. Kwahiyo hivi vitu vipo tofauti tofauti kilingana na personalities, (kwa mfano kama server na computer)).

👆👆👆
Ipuuzieni hiyo, 👉🏾sayansi inatuambia ni traits generation to generation.
Inakadiriwa kuna watu takribani 6 wanaofana nawe kila kitu physically...Inner character kama Personalities na Behavioral model tunaweza fanana pia ila sijafahamu kama binaadamu wanaweza kufanana kila kitu..nitalifanyia kazi.

Btw: Kama unaamini katika maswala ya time banding and variation inawezekana mimi ni Variant wako au wewe ni Variant wangu bila kujali Utofauti wa jinsia,umri,rangi au kabila utakao kuwepo.
Dunia ina mengi maybe I'm your Variant
Mkuu shukrani kwa hili bandiko limeniweka sawa psychologically hususani katika mahusiano.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Salute thanks for noticing me. Tuendelee kujuzana machache tuliyonayo
 
Hii mada murua
Ubongo umegawanyika katika maeneo mbalimbali , ndani ya ubongo kuna sehemu inayoitwa
Paleomammalian Cortex (Limbic System) hii ndio sehemu ya ubongo inayohusika nma kupenda mtu, unapomuona mtu yoyote unayempenda hii sehemu ya ubongo inatoa chemicals mbazo zinapelekea moyo kwenda kasi, halafu unasikia moyo unampenda sana huyo mtu lakini ukweli huo upendo upo kwenye ubongo. Hizo hisia unazisikia kwenye moyo sababu kuna Nerve mbalimbali ndani ya moyo ambazo huhisi maumivu ua hali yoyote kutokana na jinsi ubongo ulivyoamua moyo uhisi…

Emotions zinakaa ndani ya Akili (Mind, kumbuka mind ipo ndani ya Ubongo) hivyo basi kupitia Limbic system Love
Emotions hutafsiriwa na kutolewa huko kwenye Moyo kama output Device
 
Back
Top Bottom