Degree with Honours

Degree with Honours

Kwa swali lako naona watu wanatoa details lakini wanalizunguka kikawaida honors hutolewa kwa mtu ambae GPA yake inakuwa ikipanda kuanzia 4.0 bila kushuka isipokuwa wakat mwingine chuo kikipandishwa hadhi wanafunzi wanaograduate katika miaka hiyo wanapewa lkn kuanzia kiwango fulani kwa kesi yako I bet amemalizia UD maana miaka ya karibuni kimepandishwa hadhi
 
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.

Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:

  1. 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
  2. Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
  3. Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
  4. Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
  5. Fail (umefeli au kushika mkia)
​
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.

Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.


Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na sehemu nyingine).

Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:


A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0


Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)


Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:

4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
< 2.5 - Fail

asante sana mdau kwa ufafanuz murua,maana hata mimi sikujua why i got this naona tu kwenye cheti
 
SAUT hawanaga honours!

Za Nini Sisi hizo Honours? SAUT Ni Kazi tu na Kupikwa Kwa Kwenda mbele na Kama Hujapitia hapo Iwe ktk Bachelor au Masters au hata PHD Yao Changa Basi Umekosa Mengi na Vingi. SAUT Wanatisha Ndugu Zangu Kwa Taaluma Yao. Nawakubali Sana Japo Na Vyuo Vyenu Navikubali ila Kidooooooooooooooooooooo.....................go Mno!!!!!!!!!!!!!!
 
Mimi nina honor kutoka UDSM
Hii ina maana kila mwaka GPA yake imekuwa ikipanda.
Mimi nilipata sup 2 mwaka wa 1 nilipata sup.1 na mwaka wa 2 nilipata 1
Ila mwisho wa siku nilipata honor ni kutokana na GPA kupanda kila mwaka
Mwaka wa 1, GPA ilikuwa 3.5,
Mwaka wa 2 GPA ilikuwa 3.8
Mwaka wa 3 GPA ilikuwa 4.1
Honor ni kupanda kwa GPA kila mwaka
Nawasilisha
 
Mimi nina honor kutoka UDSM
Hii ina maana kila mwaka GPA yake imekuwa ikipanda.
Mimi nilipata sup 2 mwaka wa 1 nilipata sup.1 na mwaka wa 2 nilipata 1
Ila mwisho wa siku nilipata honor ni kutokana na GPA kupanda kila mwaka
Mwaka wa 1, GPA ilikuwa 3.5,
Mwaka wa 2 GPA ilikuwa 3.8
Mwaka wa 3 GPA ilikuwa 4.1
Honor ni kupanda kwa GPA kila mwaka
Nawasilisha

Safi sana!!! Kumbe nafasi bado ipo!! Ngoja na mimi nikazane ..
 
kwani ukijua chuo kitakusaidia nini, hizi grade si ni standard Au GPA ya chuo chako ulicho soma ndo ya maana sana. ucha ulimbukeni kijana.

Wa bogo bwana mnashabikia vitu ambavyo sio vya msingi kabisa. halafu weweunae uliza chuo gani unaonyesha jinsi gani usivyo jua mambo, umeulizwa swali kama unajua jibu hujui acha watu wengine wajibu au unataka tukuone upo japo kuwa huna mchango wala msaada.

Hihihihi,! Asa c useme kama ni chuo gani, kama kweli haujali na GPA ni variation tuuu, na vyuo havijalishi, coz naona kama unaogopa kutaja chuo chako... Just say it buddy
 
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.

Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:

  1. 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
  2. Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
  3. Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
  4. Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
  5. Fail (umefeli au kushika mkia)
&#8203;
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.

Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.


Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na sehemu nyingine).

Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:


A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0


Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)


Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:

4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
< 2.5 - Fail

Umemaliza kiongozi. Hamna hata cha kuongeza hapo. Umeiweka safi kabisa.
 
Mimi nina honor kutoka UDSM
Hii ina maana kila mwaka GPA yake imekuwa ikipanda.
Mimi nilipata sup 2 mwaka wa 1 nilipata sup.1 na mwaka wa 2 nilipata 1
Ila mwisho wa siku nilipata honor ni kutokana na GPA kupanda kila mwaka
Mwaka wa 1, GPA ilikuwa 3.5,
Mwaka wa 2 GPA ilikuwa 3.8
Mwaka wa 3 GPA ilikuwa 4.1
Honor ni kupanda kwa GPA kila mwaka
Nawasilisha

Sio kweli, kuna kiongozi hapo juu Kifyatu kaielezea fresh mambo honors kwenye huu uzi. Unataka kuniambia kama ulipata GPA ya 2.5 sem ya kwanza, semister ijayo 2.7, inayofuata 3.0 na semister ya mwisho ukawa na CGPA ya 3.5 utakuwa una degree with honors kisa eti GPA imekuwa ikipanda??SIDHANI. Kama unasema kweli basi kila chuo kina mtazamo wake juu ya hizi honors. Honors yako imekuja sababu CGPA yako ni above 4.0, sio sababu eti ilikuwa ikipanda kila semister. Inaweza ikashuka semister fulani, ukaja ifidia semister nyingine na mwisho wa siku iwe above 4.0
 
Last edited by a moderator:
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.

Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:

  1. 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
  2. Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
  3. Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
  4. Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
  5. Fail (umefeli au kushika mkia)
&#8203;
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.

Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.


Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na sehemu nyingine).

Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:


A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0


Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)


Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:

4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
< 2.5 - Fail

kua mtu ameuliza swali kuwa alisoma chuo gani hakujibiwa, ninachokifahamu mimi ni kuwa. UDSM ndo wana GPA tight sana First class 4.5 - 5.0
Upper second 3.5 - 4.4
Lower Second 2.7 - 3.4
Pass ni 2.00 - 2.6
lakini pia grading system yao iko tofauti na wengine
 
Nimemaliza udsm BaEd, 1st year 2.9
2nd year 2.9
3rd year 3.7
Overall gpa 3.2, cheti changu kinaniambi lower second with honors .nilishawahi kusup LL 214. Hii imekaaje wakuu
 
Jibu la haraka haraka.
Hii ina maana katika kuhitimu mafunzo (shahada) yake ameshika nafasi ya tatu.

Shahada zipo kwenye viwango hivi na nitavifafanua baadae:

  1. 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza)
  2. Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili
  3. Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu
  4. Pass (au Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
  5. Fail (umefeli au kushika mkia)
&#8203;
LOWER SECOND WITH HONORS inamaana gani?
Inamaanisha kuwa katika masomo ya kozi yake amejitahidi na kupata GPA (Grade Point Average) ya wastani wa B+ kwa masomo yote. Hii GPA sio kiashiria cha mafanikio yake kwenye maisha au kazini. Kwa mwajiri hii ina maana huyu kijana akimpa jukumu unaweza kutegemea ufanisi mzuri zaidi ya wastani (better than average performance). Aina ya shahada iliyopo kwenye cheti chako itakusaidia tu kufungua milango katika kutafuta ajira.

Inawezakana kabisa mwanafunzi mwenye pass (B) degree akawa na ufanisi wa A+ kazini na 1st class honor (A+) degree holder akawa na ufanisi duni kazini.


Hii GPA inakokotolewaje?
Nitakupa mfano hai ninaoufahamu mimi kwa hapa nilipo. (Utaratibu huu unaweza kutofautiana na s

Kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwanafunzi anamaliza shahada yake kila somo akilimaliza atapewa alama ya A, B, C, D, F kufuatia na ufaulu wake. Kila alama ina uzito wake (huu uzito unatofautiana kutoka shule hadi shule) kama ifuatavyo:


A+ = 5.0
A =4.5
A- =4.0
B+ =3.5
B =3.0
B- =2.5
C+ =2.0
C =1.5
C- =1.0
D+ =0.5
F =0


Zaidi ya kila alama kuwa na uzito wake, pia kila somo linapewa uzito kulingana na ugumu au umuhimu wake katika hiyo shahada.
Kwa mfano: Kama unafanya shahada ya uchumi (Economics), basi somo linalochambua sera za kiuchumi (MONETARY/FISICAL policies) litakuwa na uzito mkubwa kuliko somo la mwaka wa kwanza kama Introduction to Microeconomics. Uzito wa somo pamoja na uzito wa alama aliyopata mwanafunzi ndivyo vinavyotumika kukokotoa (weighted average) GPA. (Kama utataka mfano wa kukokotoa weighted average nitonye nitakuwekea)


Hivi ndio viwango vya shahada kufuatia GPA yake atakapomaliza shahada yake:

4.00-5.00 - 1st class honors au (Summa cum laude): Nafasi ya juu kabisa (ya kwanza) [A-, A, A+]
3.80-3.99 - Upper 2nd class honors au (Magna cum laude): Nafasi ya pili [upper B+]
3.5-3.79 - Lower 2nd class honors au (Cum laude): Nafasi ya tatu [lower B+]
2.5-3.49 - Pass (Thank-you Oh Lord degree a.k.a. “gentleman degree”)
< 2.5 - Fail

mkuu kwa nijuavyo mimi vyuo vya tz ipo hivi
4.4-5.0 first class
3.5-4.3 upper second
2.7-3.4 lower second
2.0-2.6 pass

na katika madaraja ipo hivi
A
B+
B
C
D
E
F
sasa mbona classification yako haiendan na chuo chochote hapa tz? ni system ya nchi gani hiyo
 
mkuu kwa nijuavyo mimi vyuo vya tz ipo hivi
4.4-5.0 first class
3.5-4.3 upper second
2.7-3.4 lower second
2.0-2.6 pass

na katika madaraja ipo hivi
A
B+
B
C
D
E
F
sasa mbona classification yako haiendan na chuo chochote hapa tz? ni system ya nchi gani hiyo


Asante kwa swali.

Nilifundisha UDSM kuanzia early 80s hadi 1993. Baada ya hapo nilihamia USA. Viwango nilivyotoa ni vile ninavyotumia sasa.

Kama kuna cha ziada niulize.
 
hivyo vyuo vyenu G.P.A ni za kuchukua na kubandikiwa , chuo nilichosoma honour walichukuwa watu wawili tu... Sasa naona kila mchangiaji hapa anasema alipata honour hadi napata hofu.
 
Asante kwa swali.

Nilifundisha UDSM kuanzia early 80s hadi 1993. Baada ya hapo nilihamia USA. Viwango nilivyotoa ni vile ninavyotumia sasa.

Kama kuna cha ziada niulize.

apo nimekusoma mkuu
 
mkuu kwa nijuavyo mimi vyuo vya tz ipo hivi
4.4-5.0 first class
3.5-4.3 upper second
2.7-3.4 lower second
2.0-2.6 pass

na katika madaraja ipo hivi
A
B+
B
C
D
E
F
sasa mbona classification yako haiendan na chuo chochote hapa tz? ni system ya nchi gani hiyo
hata wewe unadanganya jamaa kaeleza vizuri pia amejaribu kuweka approximations nzuri hi yo 4.4 kwa sua ni upper second
 
Back
Top Bottom