ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Last edited by a moderator:
Best hujanitendea haki kabsaa huyo mwaJ wala simjui
mshana jr nipo bana miss chagga kapata pedeshee lenye pesa siku hizi hata sisi vibonde hatuoni tena Khantwe nimekumiss wewe mwambie na kashinde pia nimemmiss
cc Ntuzu na utafiti na Tized na Mndengereko
Mr Rocky kirirsimasi inakuja ngoja nitafute hela ya kutumbua tuje tutumbue woteWala usijali Mr Rocky atarudi tuu miss chagga kule kafata ndururu tuu, Khantwe ana stress natamani kumfariji kiaina lakini nashindwa nianzie wapi
mshana jr nipo bana miss chagga kapata pedeshee lenye pesa siku hizi hata sisi vibonde hatuoni tena Khantwe nimekumiss wewe mwambie na kashinde pia nimemmiss
cc Ntuzu na utafiti na Tized na Mndengereko
Wala usijali Mr Rocky atarudi tuu miss chagga kule kafata ndururu tuu, Khantwe ana stress natamani kumfariji kiaina lakini nashindwa nianzie wapi
Mr Rocky kirirsimasi inakuja ngoja nitafute hela ya kutumbua tuje tutumbue wote
miss chagga anaweza kuinama mwewe akaja kuchukua mpaka msosi wake aise au hizo sheria anazotunga zikawa zishapitwa na wakati kama rasimu ya katibausijali ukiona kobe kainama anatunga sheria baby usijali
Najua mkuu mshana jr kuwa miss chagga kafuata ndururu kule na si unajua tena xmass hiyo inakuja lazima awe nazo akawaonyeshe watoto wa kule uchaggani kuwa mambo hayakuwa mabaya mjini aise
Najua baby miss chagga we zichange bana msimu unakaribia aise
miss chagga anaweza kuinama mwewe akaja kuchukua mpaka msosi wake aise au hizo sheria anazotunga zikawa zishapitwa na wakati kama rasimu ya katiba
basi nitakuwa nainama na kuinuka baby Mr Rocky
Mapenzi kizungumkutu kwelikweli
Afadhali baby miss chagga maana kuna siku utakuja mwewe washamchukua Mr Rocky aise
mshana jr hata mie nimeshangaa ladyfurahia kututaja hapo. Kanifanyia uchokozi tu.Best hujanitendea haki kabsaa huyo mwaJ wala simjui
mshana jr hata mie nimeshangaa ladyfurahia kututaja hapo. Kanifanyia uchokozi tu.
mshana jr hata mie nimeshangaa ladyfurahia kututaja hapo. Kanifanyia uchokozi tu.
Nikwambie kitu mwaJ, tufanye colabo...!!!
Afadhali baby miss chagga maana kuna siku utakuja mwewe washamchukua Mr Rocky aise