Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Mmoja wa wanakamati ya kudeclassify files za iliyokuwa KGB anaelezea sababu za kuuawa kwa aliyekuwa mbabe wa USSR Joseph Stalin, na udhaifu wa KGB katika Counterintelligence mpaka kiongozi wa taifa hilo kuuawa na majasusi kutoka nchi za magharibi