Debate: Bado nipo nipo sana...Mentor vs Lara 1

Debate: Bado nipo nipo sana...Mentor vs Lara 1

Hivi unafikiri Klyin angepata kijana with cash like Mengi
angefikiria mara mbili?
au unafikiri kupanda kitandani na mzee umri wa babu yako ni 'kazi rahisi'?
mpaka pale amesha compromise mno..
na yeye ametoa meengi tu,sio ku receive..
hata ku pretend unampenda mtu sio 'sacrifice ndogo'
ni kazi kubwa mno....

The Boss hiyo inaitwa 'sacrificing ' ila inahitaji roho ya paka aisee.
 
Last edited by a moderator:
exactly aisee
mzima wewe?
umewahi sacrifice kwa mtu?

umenikumbusha enzi za ujana mlebanoni yule alikuwa director wa zain wakampangishia kule juu milenium tower anazicheki ofice kwa chin pale kijitonyama aisee nkachukua changu nkasepa kwikwikwikwi inahitaji roho ya paka The Boss
 
Last edited by a moderator:
enzi za ujana mlebanoni mmja aisee nkachukua changu nkasepa kwikwikwikwi inahitaji roho ya paka.babu alikuwa anapiga piano yule milenium tower juu kule hahahhaah The Boss

he hee kumbe na wewe umetoka mbali eeh? lol
 
Hivi unafikiri Klyin angepata kijana with cash like Mengi
angefikiria mara mbili?
au unafikiri kupanda kitandani na mzee umri wa babu yako ni 'kazi rahisi'?
mpaka pale amesha compromise mno..
na yeye ametoa meengi tu,sio ku receive..
hata ku pretend unampenda mtu sio 'sacrifice ndogo'
ni kazi kubwa mno....

Anna Nicole Smith 'alicompromise' sana, alikuwa na miaka 26 akaolewa na mzee wa miaka 89!!!









smith_marshall180.jpg
 
Kuna kitu naona you don't get it kabisa..
lara 1 yuko hivyo mostly pia ni her age
hawezi kuwa hivyo ten years from now
au akiwa 40 years old..
time na circumstances zinachangia mno personality zetu zinavyo shape..
Kwa hiyo usiwe comfortable na kutafuta 'an angel'

wapo wasichana ambao waliolewa 'for the sake of love only'
later on life iliwa geuza wakawa 'gold diggers na so cold blood suckers'
wakati in their twenties hawakuwa hivyo
unaweza oa a very innocent girl leo,ten years akawa five time money monger kuliko lara 1..

kumbuka kila kitu kinategemea circumstances na time...
lara 1 angezaliwa in the seventies? angekuwaje?
angezaliwa from 'old money family' angekuwaje?
angekutana na first boyfriend who is so rich and so generous and so cimmited to her?
angekuwaje?
angesoma Orange county huko na sio vyuo vya boom hivi angekuwaje?

kesho akipata ten times ya income yake ya leo,atakuwaje?

so hujui ...hata wewe uko hivyo sababu ya circumstances fulani fulani..

hivi ungekuwa uko HIV positive na ndo unatafuta mwenzxa mfano,inafikiri
priciples zako zingekuwaje tofauti na sasa? mind you usingekuwa na so many options..

au income yako itetereke ?au ugundue utaweza kuzaa mtoto?
anything.....

Well said. Ndio maana mimi namwangali tu kijana Mentor anavyohangaika. Kimsingi lara 1 hawezi kubadili mtazamo wake kwa sababu tu Mentor angependa iwe hivyo. Hii ni kwa sababu wengi wetu huwa hatukubali jambo hadi litukute, na ndiyo maana ukikaa na mzee mwenye busara huwezi kukuta anatumia nguvu nyingi kukuelimisha jambo. Sana sana atakupa maneno mawili, matatu yakufae mbele ya safari.

Huyu lara 1 mwenyewe kuna mahali niliwahi kumwambia muda utambadilisha, lakini akakataa kwa nguvu zote na leo anasema bado anafikiri vilevile tangu ana miaka 17 . Yaani anataka kutuaminisha kuwa hajawahi kukua kifikra kwa muda wa wa miaka 7 sasa, hii ni hatari sana japokuwa mimi siamini hivyo. Nina hakika kama ulivyosema miaka 10 au hata 5 tu huko mbele huyu huyu lara moko atakuwa kitu kingine kabisa. Tanzania yenyewe itakuwa na raisi mwingine sembuse yeye.
 
Last edited by a moderator:
Hivi unafikiri Klyin angepata kijana with cash like Mengi
angefikiria mara mbili?
au unafikiri kupanda kitandani na mzee umri wa babu yako ni 'kazi rahisi'?
mpaka pale amesha compromise mno..
na yeye ametoa meengi tu,sio ku receive..
hata ku pretend unampenda mtu sio 'sacrifice ndogo'
ni kazi kubwa mno....

Mkuu hizi nyundo unazopiga zimetulia sana, unagonga penyewe hasa.
 
No The boss, mi mahusiano nimesitisha kwa muda ss olmost a yr!
..bt nimejickia vby coz i understand,nilipokuwa chuo nimeyaona sn hayo...mtu kulaliwa na mtu mwny umri km baba/babu yako sio mchezo!inataka moyo mgumu aisee!!

Hebu tupe uzoefu kidogo kama unao.
 

Sasa dada huku si ndiyo ku judge the book by its cover lakini!? Why don't you take the time to know me?

Again,. hapo mwisho umeniacha solemba. I thought earlier on ulisema unaangalia mwanaume mwenye plan (smart) kwa sababu in real sense muda wa kuanza mahusiano yaletayo ndoa ni sometime after college. Now tell me utakuwa na assets za aina gani?

Hapo bado nikuhonge tena...



Hata akili zako zinaweza kuwa asset lol!!huwezi niambia nitaolewa na mwanaume nnaemzidi akili that must be insanity* alaf not all things you give a lady ni kuhonga sie wapenz si tunapeana zawadi??we ukimtoa date wataka alipe yeye??au kila mmoja ajilipie??love is all about giving and receiving...in short you share,the only thing we ladies we just expect we receive but in actual sense we all deserve kuzawadiana....
 
The Boss;7161561]
Nyingine sio sacrifice at times mtu anakua damn stressed na age met aheri ajichukulie babu yake atulie,no streSs..Lol!!
 
Hii debate yoote naiona inazungumza
zaidi kwa watu wenye umri below 25...
ukiwa una approach 30 au zaidi
huwezi kuwa na misimamo ya 'i want this' ' i want that'
soon una realize 'relationship is about compromising'
its about 'what we want' na sio 'i what i want'

as you age kuna vingi vya kutazama..
ukiugua? utaugua alone?
ukifa ghafla utaacha nini?
ukipa ajali na ukapata ulemavu ,je utakuwa na choices na option kama ulizo nazo now?

hapo ndo unapokubali lazima u compromise,you lose some, you win some...

unaanza kuwa more giving than kuwa more receiving.....
na hapo ndo 'utaweza vumilia ups and downs za relationship'
Hapo ndo nakupendea my The Boss
 
Last edited by a moderator:
Well said. Ndio maana mimi namwangali tu kijana Mentor anavyohangaika. Kimsingi lara 1 hawezi kubadili mtazamo wake kwa sababu tu Mentor angependa iwe hivyo. Hii ni kwa sababu wengi wetu huwa hatukubali jambo hadi litukute, na ndiyo maana ukikaa na mzee mwenye busara huwezi kukuta anatumia nguvu nyingi kukuelimisha jambo. Sana sana atakupa maneno mawili, matatu yakufae mbele ya safari.

Huyu lara 1 mwenyewe kuna mahali niliwahi kumwambia muda utambadilisha, lakini akakataa kwa nguvu zote na leo anasema bado anafikiri vilevile tangu ana miaka 17 . Yaani anataka kutuaminisha kuwa hajawahi kukua kifikra kwa muda wa wa miaka 7 sasa, hii ni hatari sana japokuwa mimi siamini hivyo. Nina hakika kama ulivyosema miaka 10 au hata 5 tu huko mbele huyu huyu lara moko atakuwa kitu kingine kabisa. Tanzania yenyewe itakuwa na raisi mwingine sembuse yeye.

FACT, TRUTH, AND SENSE ARE TIMELESS!!!!!!!!!!!!! Kama kitu ni kati ya hivo hapo, They will always stand the test of time!!!!!!!!!

So jaribu kila mda kabla hujaamua angali je maamuzi yako yana hivo vitu 3!!!!!!!!????? Kama vipo even after 30 YEARS of time given the same circumstances you will make the same decision!!!!!!!!!!

That is my FORMULAR!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom