Brutus
Senior Member
- Jul 10, 2007
- 174
- 31
Ninavyoelewa serikali haijafungia Deci, waziri mkuu alisema uchunguzi unaendelea.
Ila kwa sababu watu wengi wamepata mashaka na pesa zao na kuamua kwenda kuzitoa Deci, Deci inajikuta haiwezi kuwalipa watu wote pesa zao, ndo maana wamefunga ofisi.
Ponzi scheme!!!!